2002 FIFA WORLD CUP: Taifa kubwa la Tanzania na rafiki yake wa karibu Uganda wakiunganisha nguvu zao wanaweza kuandaa mashindano ya AFCON 2027/2029?

2002 FIFA WORLD CUP: Taifa kubwa la Tanzania na rafiki yake wa karibu Uganda wakiunganisha nguvu zao wanaweza kuandaa mashindano ya AFCON 2027/2029?

Mu7 keshapiga Chanjo hana Wasiwasi...
Sisi pia tutafanikiwa katika kupambana na gonjwa hili kwa nguvu za Mungu/Mola. Ila sidhani kama mpaka kufikia 2031 COVID - 19 bado itakuwa ni tishio Afrika/duniani kwa ujumla.
 
Ni rahisi sana kuandaa UEFA na siyo World Cup.
Nenda South Africa, angalia viwanja vyao na miundombinu mingine kama Barabara. Inatakiwa mtu anayeishi Gongolamboto aende uwanja wa mkapa ndani ya dk 15-30. Inawezekana? Dar yenyewe barabara zina folen mpaka kero. Bado sana Tanzania kuandaa kombe la dunia
Mkuu, 2031 ni miaka 10 kutoka sasa, je hatuwezi kuboresha hivi vilivyopo kwa sasa ndani ya muda huo ambao mimi ninaona kuwa ni mwingi sana...
 
Ni rahisi sana kuandaa UEFA na siyo World Cup.
Nenda South Africa, angalia viwanja vyao na miundombinu mingine kama Barabara. Inatakiwa mtu anayeishi Gongolamboto aende uwanja wa mkapa ndani ya dk 15-30. Inawezekana? Dar yenyewe barabaran zina folen mpaka kero.
Upo sahihi sana mkuu. Ndani ya miaka 10 tunaweza kujiandaa vizuri sana
 
Miaka 10 bado sana. Umewahi kuishi Dar? Uwanja wa CCM Kirumba umewahi kuingia?
Gari za abiria zilipo Dar hazitoshi, usafiri mnagombania na bado foleni. Kuna wakati Barabara ya kutoka Makumbusho kwenda Tegeta huwa ina foleni hasa unapoanzia Mwenge kuitafuta Makumbusho.
Upo sahihi sana mkuu. Ndani ya miaka 10 tunaweza kujiandaa vizuri sana
 
Sijamanisha hiyo. Namamisha Collabo kati TZ na Uganda.
Hata ziungane Kenya, Uganda, Tanzania, Congo, Malawi, Mozambique na Rwanda. Bado hazina sifa ya kuanda kombe la dunia
Mbona sijazungumzia Tanzania kuandaa kombe la dunia mkuu. Hili suala umelitoa wapi?
 
Back
Top Bottom