Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Duh mkongwe kidoDarasa la 5 aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mkongwe kidoDarasa la 5 aisee
Enzi hizo Kuna majamaa tulisoma nao wametutangulia madarasa kwanza picha inaanza shule ya msingi wanavaa bukta alaf miguu imejaa manyoya kishenzi, darasan wanakaa nyuma ticha akiuliza swali wananuna ili wasisimamishwe kujibuDuh kumbe uhuni ujaanza jana watu kama ninyi ndio mnafaa kuitwa wahuni sio hawa wanaosokota nywele
Mahikaji wako wakipindi iko unamkumbukaNauza bangi mabadaga(machimbo) chaka la ilemi bui..
Umenikumbusha mbali sana kuna jamaa tulikuwa tuna mtania gwalu alikuwa mkubwas sana af zero brainEnzi hizo Kuna majamaa tulisoma nao wametutangulia madarasa kwanza picha inaanza shule ya msingi wanavaa bukta alaf miguu imejaa manyoya kishenzi, darasan wanakaa nyuma ticha akiuliza swali wananuna ili wasisimamishwe kujibu
Hata wakifanya makosa walim wanaogopa kuwachapa inabidi waitishwe kikao Kama vile walim wanaongea na wazazi kumbe wanafunzi
Wengi sana wametangulia mbele za haki,wengine wanatumikia vifungo...Mahikaji wako wakipindi iko unamkumbuka
Kijana itabidi unipe ujanja wakufika uko nikabangaizeSouth Africa
Duh na ww ndio unapambana na jf 😂😂 mwakani uwe mwenyekiti wa vijana wapambanajiWengi sana wametangulia mbele za haki,wengine wanatumikia vifungo...
amebaki mmoja nae alirudi home saizi ni mwenyekiti wa mtaa
Ilikuwaje ulipo fika ubongo ukupotes najua hapo ulikuja na ushamba kutoka ludewa 😂😂 tupe story kidogoHuo mwaka ndo natinga Dsm kwa mara ya kwanza kuja kuanza form 5
nmechekaa jamani 🤣🤣🤣, ila we jamaaEnzi hizo Kuna majamaa tulisoma nao wametutangulia madarasa kwanza picha inaanza shule ya msingi wanavaa bukta alaf miguu imejaa manyoya kishenzi, darasan wanakaa nyuma ticha akiuliza swali wananuna ili wasisimamishwe kujibu
Hata wakifanya makosa walim wanaogopa kuwachapa inabidi waitishwe kikao Kama vile walim wanaongea na wazazi kumbe wanafunzi
Wale huwa tunabaki kuwaita tu ... "kaka mkubwa"Umenikumbusha mbali sana kuna jamaa tulikuwa tuna mtania gwalu alikuwa mkubwas sana af zero brain
Duu. Hivi kumbe huku kuna young gen namna hii. JF poa sana, inakutanisha class ambazo kwa kawaida hawawezi kutana na kudiscuss mambo kwa mtindo unaofanyika hapa.2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂