2006 Ulikuwa wapi

2006 Ulikuwa wapi

Dah mwaka huo nilikua home bi mkubwa kila nikimpanga nisepe mjini hataki anaogopa. Ni mwaka niliosimamia miradi ya home kwa hasira kila nikiwaza wenzangu tuliomaliza nao chuo wana uhuru mimi nabanwa home asee ila leo naziona faida za mimi kuzuiwa home kwa mwaka ule.
 
Duu. Hivi kumbe huku kuna young gen namna hii. JF poa sana, inakutanisha class ambazo kwa kawaida hawawezi kutana na kudiscuss mambo kwa mtindo unaofanyika hapa.

Umezaliwa 2006 ila kupitia JF unaweza mwambia aliyezaliwa 1976 "Acha utoto"
Tena na kumwambia acha upumbavu 😂😂
 
Back
Top Bottom