Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #201
Wewe nawe siku moja moja watu wasome comment yakoNasoma commnets...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe siku moja moja watu wasome comment yakoNasoma commnets...
Nilikuwa Malampaka naoa mke wa 3 ili kuendana na dini yangu2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
17/3/2021Uka amka mwaka gani?
Kumbee uki ndiko ulikuwa unapambana na maisha sioIlembula njombe aisee
Mpaka sasa una wake wangapi😂😂😂Nilikuwa Malampaka naoa mke wa 3 ili kuendana na dini yangu
Duh usingizi gani uho au ukikua ICU17/3/2021
Wanne dogo. Ungependa kujua na watoto?Mpaka sasa una wake wangapi😂😂😂
Itapendeza zaidi kakaWanne dogo. Ungependa kujua na watoto?
Acha bhana maadili hayaruhusuItapendeza zaidi kaka
Nilikuwa std 6Kumbee uki ndiko ulikuwa unapambana na maisha sio
Kwani kuna ubaya au timu ya mpira ishakamilika?Acha bhana maadili hayaruhusu
Kumbe unatufaa kwenye uvccmNili
Nilikuwa std 6
Hahaaaa umejuajeeeKumbe unatufaa kwenye uvccm
Kwa mwaka uho uko daras la sita up now utakuwa matured na utaweza kutangaza chama vyemaHahaaaa umejuajeee
Wew wa 95 kumbeDarasa la kwanza
Mabadaga ipi boss😂😂Nauza bangi mabadaga(machimbo) chaka la ilemi bui..
Duh aisee kumbe we bado kijana kabsa. Kumbe unaweza kuwa unabishana na mwanao humu. Nilikuwa seco tayari zama hizi2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂