Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.