Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana kabisa na yule mtuTOTO LA MJINI JK 😍
Kwa nini sio KDF la Kenya??JW ndio mtawala Ukanda huu wa East africa, Hakuna Jeshi Bora kama Jeshi la wananchi la Tanzania.
Jeshi la Kenya kawaida sanaKwa nini sio KDF la Kenya??
Kwa nini unasema la kawaida?Jeshi la Kenya kawaida sana
Mkuu unaweza kuwa na silaha ukashindwa kuzitumia pia.Watanzania tunaishi sana kwa historia.
Jeshi imara halinunui silaha, jeshi imara ni lile linalotengeneza silaha zake zenyewe.
Ukiwa unanunua silaha, tambua na wenzio wananunua silaha, mkipigana vita mtambue hiyo ni vita baina yenu na wale wanaowauzia silaha.
WaAfrica tuache unyumbu, tusome, tujifunze, tukuze vizazi bora, tupendane, tuache kuwa vibaraka.
Africa hakuna jeshi lenye nguvu, Africa kuna vibaraka tu wa nchi na magenge ya wauza silaha duniani kifupi waAfrica NI wanasesere.
Mkuu unaweza kuwa na silaha ukashindwa kuzitumia pia.
Hapana wako pamoja, hizi ni mbinu zao kuonekana hawamuungi mkono.Hii backup ya US, Israel na France mbona siioni? Kwanza wamekosana na France na hawataki kutumia kifaransa kama lugha kuu ya kigeni. Angalia hapa France walivyo against Rwanda France seeks UN resolution naming Rwanda as backer of M23 rebels in DRC
Inaonekana hujui mambo mengi ya ukanda huu. Uzuri kwa sasa taarifa ni nyingi fuatilia ujue ni kwa nini.Hizo ni porojo tu, Kagame atafaidika kwa kipi na mapinduzi huko Burundi??
Mmhh nitakuwa wa mwisho kuziamini hizi habariKuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
Porojo tupu mzee.....wameshindwa kushirikiana kutuliza hali DRC wanatafuta visingizio na mambo yasiyo na maana.Hizo ni porojo tu, Kagame atafaidika kwa kipi na mapinduzi huko Burundi??
JWTZ wapo Africa yakat saivi kuna amani na tumewapelekea lugha ya Kiswahili na kujenga shule za science na technology, JWTZ wapo sudan ya kusin, msumbiji Lebanon na burund Mungu aibark jesh letu pendwa kwa kutambua utu wa bnadam woteKuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
Nyerere huyo huyo alikuwa anasapoti Biafra Nigeria.Hizi chai ni kama ukakamavu wa jeshi kali mahiri la Congo, wabongo wengi humu hawajui sababu na history ya hii vita, Nyerere aliichambua vizuri sana na kuna clip nyingi tuu ziangalieni, na M23 sio Rwandese ni Congolese 💯
Wewe ni mwongo sana, hiyo ya Nkurunzinza yale Mapinduzi yalifeli kwa sababu ndani ya jeshi la Nkurunziza walikuwemo waliosaliti yale Mapinduzi wakawa upande wa Nkurunziza ata hakukua na dalili ya JWTZ ata 1Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.