- Thread starter
- #21
Tulia ,kamuulize Rais wako kagame.Acha kulisifia jeshi lenu hamna k2 hapo
Na Jiulize juzi ktk speech yake kwenu kwa nini alikwepa kutamka Tanzania ,akaishia kulaumu South africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia ,kamuulize Rais wako kagame.Acha kulisifia jeshi lenu hamna k2 hapo
Hawa watoto wa elfu 2 hawajui kitu. Huyo mwenetu tumemuonyesha njia hiyo amekulia hapa hapa na akipata shida break ya kwanza ni hapa ndio kwao.Madogo hawajui historia wanapotezwa na hizi PROPAGANDA ambazo tumewafunza sisi🤗🤗🤗Tulia ,kamuulize Rais wako kagame.
Na Jiulize juzi ktk speech yake kwenu kwa nini alikwepa kutamka Tanzania ,akaishia kulaumu South africa.
Hii backup ya US, Israel na France mbona siioni? Kwanza wamekosana na France na hawataki kutumia kifaransa kama lugha kuu ya kigeni. Angalia hapa France walivyo against Rwanda France seeks UN resolution naming Rwanda as backer of M23 rebels in DRCHata sasa anabweka sana kwa sababu ya back up ya USA, Israel na France.
Kigali mtarudi na pampas, ikibidi, raia wote wa Tz above 18 tutaingia huko Front, mmezidi bhana, kila siku nyie tu.., hamridhiki na madini mliyopora?! Leave DRC alone!!Endelea kuota kinshasa tunaingia jumatatu
TOTO LA MJINI JK 😍Ila Ile ya kumrudisha Nkurunziza Ikulu ndipo Jk alimwambia kagame we mtoto mdogo tena mgambo kwangu
Hamna lolote magwanda tu hayo hata JOTI anavaa... huyo Kagame ni mwepesi kama unyoyaa sema tu anatumia janja janja ya kucheza na akili za mazombi yakeNusu zege nusu chuma.
View attachment 3221712
Sio yeyeKagame ana tamaa sana
Punguza uzombiHizo ni porojo tu, Kagame atafaidika kwa kipi na mapinduzi huko Burundi??
Uzombi ni hizo story zenu za mtaani kumfanya Kagame bogeyman wa matatizo ya kila nchi Africa Mashariki na SADC.Punguza uzombi
Punguza ujuaji kuuficha ujinga wakoUzombi ni hizo story zenu za mtaani kumfanya Kagame bogeyman wa matatizo ya kila nchi Africa Mashariki na SADC.
Jw ilikuwa mji wa Sake kuzuia m23 wasifike Goma.Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
Kuna mtindio wa hekima pia.Kagame ana tamaa sana
yule niyombare alimpindua nkurunzinza,jwtz walimrudisha madarakaniKuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.
Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.
Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.
JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.
Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.
Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.
Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.
Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.