2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

Tulia ,kamuulize Rais wako kagame.

Na Jiulize juzi ktk speech yake kwenu kwa nini alikwepa kutamka Tanzania ,akaishia kulaumu South africa.
Hawa watoto wa elfu 2 hawajui kitu. Huyo mwenetu tumemuonyesha njia hiyo amekulia hapa hapa na akipata shida break ya kwanza ni hapa ndio kwao.Madogo hawajui historia wanapotezwa na hizi PROPAGANDA ambazo tumewafunza sisi🤗🤗🤗
 
Nusu zege nusu chuma.
images (2).jpeg
 
Hizo ni porojo tu, Kagame atafaidika kwa kipi na mapinduzi huko Burundi??
 
Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.

Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.

Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.

JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.

Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.

Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.

Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.

Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
Jw ilikuwa mji wa Sake kuzuia m23 wasifike Goma.
M23 wameiteka Sake yenyewe iliyokuwa inalindwa na tayari Goma iliyokuwa inalindwa na mataifa zaidi ya 10 iko mikononi kwa M23 na sasa wanaelekwa Bukavu kwa kuvimba. Sasa jiulize hao walinzi wa sake wamekimbilia wapi?
Majeshi ya serikali na washirika wake wamekimbia kuokoa roho zao.

Wakati M23 wakisonga mbele hakuna wa kuwazuia. Souz Afrika alitaka kushindana nao akapigigishwa hasara ya askari 13 saiv kuufyata anasubiri huruma za Kagame ili aokote Mairi zake na kukusanya vifaa vyake.
 
Hizi chai ni kama ukakamavu wa jeshi kali mahiri la Congo, wabongo wengi humu hawajui sababu na history ya hii vita, Nyerere aliichambua vizuri sana na kuna clip nyingi tuu ziangalieni, na M23 sio Rwandese ni Congolese 💯
 
Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.

Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.

Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.

JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.

Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.

Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.

Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.

Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
yule niyombare alimpindua nkurunzinza,jwtz walimrudisha madarakani
 
Back
Top Bottom