2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

Narudia, Kagame is a parasite hapa Great Lakes.....ni muuwaji na hafai kuishi hapa duniani. His time is up!
 
Hizi habari ulizoandika akiziona Kagame atakuua. Sababu atajua wewe unataka yeye afe kwa kumchonganisha na TZ Kijeshi. Usije ukarudia tena kuandika hivi. Haya maneno copy nenda kapaste kwenye page ya Kagame kule X atakutafuta akuue.
 
Kuna kununua na kutengeneza.
Anayetengeneza silaha hawezi kushindwa kuzitumia, anayenunua silaha anaweza kuwa kilaza tu mwenye hela.

Muarabu Hana technolojia anategemea kununua, Israeli ana technolojia ndio maana anawasumbua
We jamaa acha kutuchosha, ni nchi ngapi duniani zinatengeneza silaha zake mwenyewe, Urusi anaagiza drones Iran, Israel ana washinda waarabu kwa misaada ya western na ana tuhisa ya ku modify silaha za mmarekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…