2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

NI biashara ya Kaburu hiyo, mwisho wa Kaburu kutumia nguvu zake kwenye jeshi la SA ni vita ya Angola na Savimbi.

Kwa sasa kaburu hajihusishi sana na hilo jeshi labda kutokee kitisho kutoka kwa majirani hapo kama Zimbabwe nk anaweza kuingia mzigoni kwa kiasi kikubwa kulinda rasirimali zake.

Kwa kiasi kikubwa Jeshi la SA limejaa wazembewazembe wazuru nk ambao sio wapiganaji wazuri na sio watu wenye akili.
Refer kilichotokea Msumbiji ambao ni jirani zao walifanya nini?
SA popote inapokuwa kwenye kitisho ujue watatumia rasilimali zao na viwanda vyao vya kutengeneza silaha kukabiliana na adui.
 
Usikae ukawaamini waAfrica katika maamuzi yeyote yale, suala la DRC linahitaji akili nyingi kuliendea na sio miguvu, tukienda vibaya pale Goma Ile vita inaweza kusambaa sehemu kubwa EA.

M23 na Rwanda wanahitaji kuhusishwa Sana kwenye kila mazungumzo ya kutatua huu mgogoro, vinginevyo ni kuiingiza kanda yote hii kwenye crisis ambayo hatuwezi kuwa na majibu nayo zaidi ya kwenda tena kwa mabeberu.

DRC ni eneo ambalo lina umafia mwingi sana wa kimataifa unaohusisha WaAfrica wenyewe, Wazungu, Wachina, Wahindi nk, wapo mpaka head of states wa Africa wanaonufaia na DRC.
Unaweza ukafikiri unapigana na M23 au Rwanda ukajikuta unapigana hata na wananchi wako aka Oligarchs wanaonufaika na DRC.
Tishekedi anayelindwa abaki madarakani, Je anadeserve kubaki madarakani kwa manufaa ya WaCongo, amefanya nini Tishekedi kuhakikisha umoja mshikamano wa WaCongo wote, amefanya nini kulifanya jeshi la DRC liwe uwezo wa kulinda mipaka yake?
Amefanya nini Tishekedi kuhakikisha Congo na majirani zake wanaishi pamoja?

SADC wanakwenda DRC kumkomoa PK na M23 au wanakwenda kutatua tatizo la DRC?.
SADC, Munisco, EAC nk wapo DRC kabla ya M23 hawajafika Goma nini walifanya?.
2012, M23 wallikuwepo Goma, mazungumzo yakifanyika wakaondoka Goma, nini kilifanyika baada ya hapo kutatua tatizo?
SADC/EAC wakifika Kigali na kumtoa PK wanaweza kuzifanya Rwanda na Burundi ziwe na amani? wanaweza kurudisha amani ya kudumu DRC?
Kwanini Felix hadeserve kuongoza Congo?
Anaye deserve ni nani?
 
Hata sasa anabweka sana kwa sababu ya back up ya USA, Israel na France.
Huo ni uongo wa kijiweni, Rwanda haiungwi mkono na wazungu na hata juzi tu Marekani ameionya Rwanda kujiondoa Congo.

Waafrika wana tabia ya kijinga sana ya kutafuta visingizio kwa madhaifu na matatizo yao wanayojiletea wenyewe. Afrika bure kabisa.
 
Hebu wewe Mwenye kitu kilete.Ninyi Nguchiro mmefadhiliwa Tz na mnalipiwa mishahara kwa Kodi zetu afu mnaleta dharau. Na kwa chuki mnayotengeneza Rwanda siku pakichafuka sijui mtaenda wapi
Kwakweli pale Kigali kuna mtindio wa hekima na busara vya hali ya juu..
 
Kwanini Felix hadeserve kuongoza Congo?
Anaye deserve ni nani?

WacCongo wanapaswa kutafuta anayedeserve, Felix ameshindwa kuwalinda, ukiiona Ile hali ya Askari wa DRC utaelewa namaanisha nini, wale Askari hawalipwi mishahara na hawana mafunzo ya kutosha.
 
M23 ni wanyarwanda, hao ni watusi...

Congo hatuna watusi ila Rwanda...

Ni kama watusi walio katavi kule wajiite watanzania, haiwezekani maana kwenye makabira 120 ya bongo hakuna mtusi...

Hawa watusi wanaishi kwenye nchi za watu kwa huruma tu ya wananchi wa nchi hizo....

Kwanini Jaruo na Masai hawasumbuliwi?

Mtusi ana tamaa, ubaguzi na roho mbaya.
Mungu isaidie Africa, ujinga na ukabila unamaliza watu wetu🥲
 
Hao ni Wacongo wenzio....bahati nzuri nimefika maeneo hayo....Vizazi na vizazi wameishi hapo.

Mwaka 1971 mlipokuwa na mgogoro wa uraia ulitokana na nini? Unajua kwamba kifo cha Lumumba viongozi wengi kutoka jamii ya Lumumba waliwalaumu wanyamlenge.

Wakoloni wa kibelgiji ilikiri kati ya mwaka 1920 iliwasafirisha watutsi wengi kwenda kufanya kazi kwenye mashamba yao Eastern Congo. Now tell me....mtu aliyeishi Congo toka 1900 leo 2025 unamwambia sio raia wa Congo does it make sense??
Ukiwa na mamlaka unapoteza aibu nadhani hii ya kumwambua mtu aliyeishi sehemu tangu 1900 kuwa si raia wahapo ni kawaida kwa mwenye mamlaka. Hiyo ni namna ya kipuuzi kumwengua mtu kutoka kwenye "kinyanganyiro" Ili mshindani wake mwenye mamlaka anufaike.
Tanzania vitu vya namna hiyo huibuka wakati wa uchaguzi, hasa kwa raia wa mikoa ya pembezoni.
Ooh..mara mgombea flan kaenguliwa kwasababu siyo raia!
Ngano, Husein Bashe na Zitto Kabwe iliwahi kuwatokea.
 
WacCongo wanapaswa kutafuta anayedeserve, Felix ameshindwa kuwalinda, ukiiona Ile hali ya Askari wa DRC utaelewa namaanisha nini, wale Askari hawalipwi mishahara na hawana mafunzo ya kutosha.
Taratibu za kupata Raise wa Congo zinawahakikishiaje wapigakura kupata mtu wa namna hiyo?
 
Hivi na wewe unaamini kabisaa JW hawajui kutengeneza hata silaha kama bunduki hizi ambazo huko mapori ya hifadhi zinatengenezwa na vibabu vizee kabisaa??

Hiv umeshawahi hata kutembea workshops za jeshi la Suma au Magereza ukaona products wanazo tengeneza na ukakosa kuona hizo boots?? Au mnaoongeaga tu na wala hamjawahi kuhudhuria workshops zozote za majeshi yenu??

Au unataka uambiwe Kiwanda cha silaha ndogo ndogo au za kati cha JW hapa tz kiko mkuranga au kibaha au Mlandizi? Ndicho unachotaka ujue kupitia mitandao?

Polen sana. Shida vijana mnaongea sana kuliko kufuatilia mambo. Yan Rwanda watengeneze silaha halafu Tanzania washindwe?

Vitu vingine ni spinning tu..
Pia Mzinga Morogoro wanatengeneza risasi
 
Taratibu za kupata Raise wa Congo zinawahakikishiaje wapigakura kupata mtu wa namna hiyo?

Hilo ni pamoja na kuhakikisha mfumo mzima unakuwa sawa, huwezi kumpata mtu sahihi kwakutumia mfumo usio sahihi.
Ndio maana hata hapa Tanzania unaona ugomvi wa katiba na tume huru ya uchaguzi lengo ni lile lile kuhakikisha anapatika mtu sahihi.
 
Hilo ni pamoja na kuhakikisha mfumo mzima unakuwa sawa, huwezi kumpata mtu sahihi kwakutumia mfumo usio sahihi.
Ndio maana hata hapa Tanzania unaona ugomvi wa katiba na tume huru ya uchaguzi lengo ni lile lile kuhakikisha anapatika mtu sahihi.
Mifumo ya chaguzi zetu haitofautiani sana. Uganda, Rwanda,,Burundi, Tanzania inaweza kuwabambikia raia kiongozi wasiye mchaguwa. Pale Congo kinachokosekana ni nguvu za a mamlaka ya raisi ngazi za chini.
 
Usikae ukawaamini waAfrica katika maamuzi yeyote yale, suala la DRC linahitaji akili nyingi kuliendea na sio miguvu, tukienda vibaya pale Goma Ile vita inaweza kusambaa sehemu kubwa EA.

M23 na Rwanda wanahitaji kuhusishwa Sana kwenye kila mazungumzo ya kutatua huu mgogoro, vinginevyo ni kuiingiza kanda yote hii kwenye crisis ambayo hatuwezi kuwa na majibu nayo zaidi ya kwenda tena kwa mabeberu.

DRC ni eneo ambalo lina umafia mwingi sana wa kimataifa unaohusisha WaAfrica wenyewe, Wazungu, Wachina, Wahindi nk, wapo mpaka head of states wa Africa wanaonufaia na DRC.
Unaweza ukafikiri unapigana na M23 au Rwanda ukajikuta unapigana hata na wananchi wako aka Oligarchs wanaonufaika na DRC.
Tishekedi anayelindwa abaki madarakani, Je anadeserve kubaki madarakani kwa manufaa ya WaCongo, amefanya nini Tishekedi kuhakikisha umoja mshikamano wa WaCongo wote, amefanya nini kulifanya jeshi la DRC liwe uwezo wa kulinda mipaka yake?
Amefanya nini Tishekedi kuhakikisha Congo na majirani zake wanaishi pamoja?

SADC wanakwenda DRC kumkomoa PK na M23 au wanakwenda kutatua tatizo la DRC?.
SADC, Munisco, EAC nk wapo DRC kabla ya M23 hawajafika Goma nini walifanya?.
2012, M23 wallikuwepo Goma, mazungumzo yakifanyika wakaondoka Goma, nini kilifanyika baada ya hapo kutatua tatizo?
SADC/EAC wakifika Kigali na kumtoa PK wanaweza kuzifanya Rwanda na Burundi ziwe na amani? wanaweza kurudisha amani ya kudumu DRC?
Mkuu USA kun watu wanalala nje na mateja wapo kama wote, china ndo usiseme lakin bado wanatoa misada kwa nchi kibao. Au wew hujawah kuwasaidia watu wasio ndugu zako? Na ikiwa ni Ndiyo je ukoo wenu wote wanajiweza?
 
Mifumo ya chaguzi zetu haitofautiani sana. Uganda, Rwanda,,Burundi, Tanzania inaweza kuwabambikia raia kiongozi wasiye mchaguwa. Pale Congo kinachokosekana ni nguvu za a mamlaka ya raisi ngazi za chini.
Kiukweli uchaguzi wa Tanzania ni wa kusikitisha sana pia.
 
Hivi na wewe unaamini kabisaa JW hawajui kutengeneza hata silaha kama bunduki hizi ambazo huko mapori ya hifadhi zinatengenezwa na vibabu vizee kabisaa??

Hiv umeshawahi hata kutembea workshops za jeshi la Suma au Magereza ukaona products wanazo tengeneza na ukakosa kuona hizo boots?? Au mnaoongeaga tu na wala hamjawahi kuhudhuria workshops zozote za majeshi yenu??

Au unataka uambiwe Kiwanda cha silaha ndogo ndogo au za kati cha JW hapa tz kiko mkuranga au kibaha au Mlandizi? Ndicho unachotaka ujue kupitia mitandao?

Polen sana. Shida vijana mnaongea sana kuliko kufuatilia mambo. Yan Rwanda watengeneze silaha halafu Tanzania washindwe?

Vitu vingine ni spinning tu..
Usitoe Siri🤐
 
Back
Top Bottom