2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

Haihusiani....

Ngoja nikufafanulie vizuri uelewe.
Rudi mwaka 1900...mimi ni mmasai...sina serikali kama ilivyo sasa. Kiongozi wetu ni Leingwanan....wakaja watu wakanihamisha nilipokuwa naishi nikaenda sehemu nyingine kuwafanyia kazi. Nikaishi sehemu mpya kwa miaka nikazaa watoto ...nikafa.

Baadae kutokana na maendeleo ninapoishi pakajitawala na pakajipa jina. Serikali mpya ikampa kila aliyekuwa anaishi ndani ya hii sehemu mpya uraia baada ya kujipatia huru.

Swali je, nchi yangu ni ipi? Unataka wajukuu zangu warudi nilipotoka miaka 100 iliyopita?

Watumwa wa Marekani ni wamarekani wenye asili ya kiafrika. Ukimrudisha Rick Ross Afrika leo unampeleka wapi? Hajui chochote kuhusu Afrika....
Kwa kesi ya Afrika ni tofauti na Marekani...

Wale black american hawana makabila

Afrika bado tunaishi kikabila, tunajua Uganda hakuna wafipa...

So tukiona mfipa pale Uganda hata kama ni wa kizazi cha 5 huyo bado ni mtanzania...

Na tutaishi na wewe kwa kukuvumilia, ila siku ukileta ujanja tutakwambia Uganda sio ya wafipa, kwenu ni Rukwa, Tanzania...
 
Yaani unaongea as if unaamini wabongo wana akili nyingi za kufanya hivyo.

Mambo ya kijinga kama kuwa na bajeti ya kununua V8 nyingi kuliko bajeti ya wizara ya kilimo inaonyesha wazi kuwa bongo haina mental sophistication ya kuinfiltrate jeshi la PK au usalama wa Taifa wa RWNDA.

PK alisema akipewa hiyo bandari tu anaweza kuigeuza Bongo kuwa kama ulaya. Sisi hata kuendesha bandari hatuwezi tumempa mwarabu.

Nakushauri, ili usipate stress, bongo usiichukulie serious kivile. Kama vitu basic hatuwezi, usifikiri kama complex mission za kuinfiltrate majeshi ya Rwanda tunaweza!.

May be uwezo wa bongo unaishia kwenye kuwapoteza akina Soka, Ben Saanane, kudeal na akina mzee Kibao, watu wasio na threat yoyote kwa nchi! basi!
Mkuu, nikuulize swali, unaijua historia ya uanzishwaji wa vyuo vikuu Rwanda ???
 
Rudia upya kusoma ulichoandika.
Ni kipi kinachofanya mtake kufanya operation ya kuwarudisha kwao?
It's too late mzee baba, endelea kukariri.
JWTZ ilikuwa kipindi kile cha akina jenerali Mayunga, ya sasa haiwezi fanya lolote kwa Rwanda
Suburi uone Sasa
 
Tatizo la Wanyarwanda wameishi na kukua katika propaganda za ukabila, hivyo hawawezi kuacha ni asili yao.
Sio wanyarwanda mkuu, watusi specifically...

Kwasababu congo kuna wahutu pia na hawana tatizo na mtu...

Mtusi kinachomtesa ni ukabila na ubaguzi, hawezi kuishi na makabila mengine...

Ukitaka kuamini hilo nenda Tabora na katavi kuna sehemu zinaitwa utusini, wamejitenga na raia wengine...

Wenzao wahutu wamesambaa nchi nzima na huwezi watofautisha na waha kwasababu hawana tabia za kibaguzi na kujitenga.
 
Kwa kesi ya Afrika ni tofauti na Marekani...

Wale black american hawana makabila

Afrika bado tunaishi kikabila, tunajua Uganda hakuna wafipa...

So tukiona mfipa pale Uganda hata kama ni wa kizazi cha 5 huyo bado ni mtanzania...

Na tutaishi na wewe kwa kukuvumilia, ila siku ukileta ujanja tutakwambia Uganda sio ya wafipa, kwenu ni Rukwa, Tanzania...
Wamasai wote wakenya au watanzania?
Wa-tswana wote Kwao Botswana au South Africa?
Wasomali wote wakenya au wasomali?

Wakurya wote Wakenya au Watanzania......

Waafrika Weusi wote walikuwa na makabila....makabila na Mila zao ziliisha pale waliposafirishwa.

Naelewa Kabila Sr alisaidiwa na Watutsi kumuondoa Mobutu....hivyo kuna uhasama.

Ajabu mnawakubali wahutu wa Congo ila watutsi hamuwataki.??
 
Watanzania tunaishi sana kwa historia.

Jeshi imara halinunui silaha, jeshi imara ni lile linalotengeneza silaha zake zenyewe.

Ukiwa unanunua silaha, tambua na wenzio wananunua silaha, mkipigana vita mtambue hiyo ni vita baina yenu na wale wanaowauzia silaha.

WaAfrica tuache unyumbu, tusome, tujifunze, tukuze vizazi bora, tupendane, tuache kuwa vibaraka.

Africa hakuna jeshi lenye nguvu, Africa kuna vibaraka tu wa nchi na magenge ya wauza silaha duniani kifupi waAfrica NI wanasesere.
South Africa wanatengeneza silaha, kuanzia ndege za kivita hadi vifaru.
 
Hivi na wewe unaamini kabisaa JW hawajui kutengeneza hata silaha kama bunduki hizi ambazo huko mapori ya hifadhi zinatengenezwa na vibabu vizee kabisaa??

Hiv umeshawahi hata kutembea workshops za jeshi la Suma au Magereza ukaona products wanazo tengeneza na ukakosa kuona hizo boots?? Au mnaoongeaga tu na wala hamjawahi kuhudhuria workshops zozote za majeshi yenu??

Au unataka uambiwe Kiwanda cha silaha ndogo ndogo au za kati cha JW hapa tz kiko mkuranga au kibaha au Mlandizi? Ndicho unachotaka ujue kupitia mitandao?

Polen sana. Shida vijana mnaongea sana kuliko kufuatilia mambo. Yan Rwanda watengeneze silaha halafu Tanzania washindwe?

Vitu vingine ni spinning tu..

Sasa kama wanajua kutengeneza hizo tenda za kuleta sare za jeshi kutoka nje huwa zinatolewa kwa kazi gani?
 
Wamasai wote wakenya au watanzania?
Wa-tswana wote Kwao Botswana au South Africa?
Wasomali wote wakenya au wasomali?

Wakurya wote Wakenya au Watanzania......

Waafrika Weusi wote walikuwa na makabila....makabila na Mila zao ziliisha pale waliposafirishwa.

Naelewa Kabila Sr alisaidiwa na Watutsi kumuondoa Mobutu....hivyo kuna uhasama.

Ajabu mnawakubali wahutu wa Congo ila watutsi hamuwataki.??
Nafikiri sasa tunakwenda sawa...

Inatakiwa ushangae, kwanini watusi tu ilihali kuna makabila mengine hawasumbuliwi...
 
Usikae ukawaamini waAfrica katika maamuzi yeyote yale, suala la DRC linahitaji akili nyingi kuliendea na sio miguvu, tukienda vibaya pale Goma Ile vita inaweza kusambaa sehemu kubwa EA.

M23 na Rwanda wanahitaji kuhusishwa Sana kwenye kila mazungumzo ya kutatua huu mgogoro, vinginevyo ni kuiingiza kanda yote hii kwenye crisis ambayo hatuwezi kuwa na majibu nayo zaidi ya kwenda tena kwa mabeberu.

DRC ni eneo ambalo lina umafia mwingi sana wa kimataifa unaohusisha WaAfrica wenyewe, Wazungu, Wachina, Wahindi nk, wapo mpaka head of states wa Africa wanaonufaia na DRC.
Unaweza ukafikiri unapigana na M23 au Rwanda ukajikuta unapigana hata na wananchi wako aka Oligarchs wanaonufaika na DRC.
Tishekedi anayelindwa abaki madarakani, Je anadeserve kubaki madarakani kwa manufaa ya WaCongo, amefanya nini Tishekedi kuhakikisha umoja mshikamano wa WaCongo wote, amefanya nini kulifanya jeshi la DRC liwe uwezo wa kulinda mipaka yake?
Amefanya nini Tishekedi kuhakikisha Congo na majirani zake wanaishi pamoja?

SADC wanakwenda DRC kumkomoa PK na M23 au wanakwenda kutatua tatizo la DRC?.
SADC, Munisco, EAC nk wapo DRC kabla ya M23 hawajafika Goma nini walifanya?.
2012, M23 wallikuwepo Goma, mazungumzo yakifanyika wakaondoka Goma, nini kilifanyika baada ya hapo kutatua tatizo?
SADC/EAC wakifika Kigali na kumtoa PK wanaweza kuzifanya Rwanda na Burundi ziwe na amani? wanaweza kurudisha amani ya kudumu DRC?
Sema yote ila tumechoka dharu tunamng'oa Banyamulenge mwenzako
 
Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi.

Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa vibaya mno kutokana na msaada wa JWTZ kwa nchi ya Burundi.

Jaribio mojawapo ni lile la kumpindua Nkurunzinza (R.i. p) akiwa Tanzania 🇹🇿, lililofeli vibaya mno na kwa aibu.

JWTZ popote pale itakapotia mkono, RPF haiwezi kufanikiwa na haitakaa ifanikiwe.

Mgogoro wa Congo wa sasa, Rwanda ana back up ya Israel, Qatar, USA & France.

Congo kwa upande wake, wakuu wa vyombo vya ulinzi, na mawaziri wa ulinzi wa nchi zote za SADC Wanakutana kinshasha kwa ajili ya hatua za haraka za kuizuia Rwanda na njama za kumpindua Tshikedi, hawa SADC nchi nyingi zina buck up ya China na Russia.

Ikiwa Rwanda atakataa kuwithdraw jeshi lake kutoka Congo, basi uhenda vita ikafika hadi Kigali.

Mwisho, popote pale JWTZ itakapo tia nguvu, Rwanda haitakaa ifanikiwe kamwe.
DRC nachojua hakuna majeshi ya Rwanda,
Majeshi yaliyopo DRC
SAMIRDC
M23
FDRL
FARDRC
 
Sasa kama wanajua kutengeneza hizo tenda za kuleta sare za jeshi kutoka nje huwa zinatolewa kwa kazi gani?
Kaka taasisi yeyote yanye accountability kwenye masuala ya kifedha lazima iwe na utaratibu wa manunuzi ambao uko regulated.
Hao suppliers muda mwingine wanatumika kama ghost tu ku justify kuwa mchakato wa manunuzi umezingatia sheria ila ukute hata hawahusiki na chochote
 
Yaani unaongea as if unaamini wabongo wana akili nyingi za kufanya hivyo.

Mambo ya kijinga kama kuwa na bajeti ya kununua V8 nyingi kuliko bajeti ya wizara ya kilimo inaonyesha wazi kuwa bongo haina mental sophistication ya kuinfiltrate jeshi la PK au usalama wa Taifa wa RWNDA.

PK alisema akipewa hiyo bandari tu anaweza kuigeuza Bongo kuwa kama ulaya. Sisi hata kuendesha bandari hatuwezi tumempa mwarabu.

Nakushauri, ili usipate stress, bongo usiichukulie serious kivile. Kama vitu basic hatuwezi, usifikiri kama complex mission za kuinfiltrate majeshi ya Rwanda tunaweza!.

May be uwezo wa bongo unaishia kwenye kuwapoteza akina Soka, Ben Saanane, kudeal na akina mzee Kibao, watu wasio na threat yoyote kwa nchi! basi!
Kagame mpaka sasa kapoteza watu zaidi ya milioni 3.
Kagame hana huwezo wowote wa kutawala Tanzania, Tanzania hatuna ukabila wake na Tanzania hutuna utawala wa chuma.
 
Hao wote wnatoa intelligence tu hawaingii front na hawawezi Guerilla.
Kwa hapo Congo wabane wa Guerilla ni wakongo wenyewe, Uganda,Rwanda na hao m23 ila wote akiingia TPDF wanapata shida.
Ndiyo buck up yenyewe hiyo wanayompa, maana wanafaidika naye.
 
South Africa wanatengeneza silaha, kuanzia ndege za kivita hadi vifaru.

NI biashara ya Kaburu hiyo, mwisho wa Kaburu kutumia nguvu zake kwenye jeshi la SA ni vita ya Angola na Savimbi.

Kwa sasa kaburu hajihusishi sana na hilo jeshi labda kutokee kitisho kutoka kwa majirani hapo kama Zimbabwe nk anaweza kuingia mzigoni kwa kiasi kikubwa kulinda rasirimali zake.

Kwa kiasi kikubwa Jeshi la SA limejaa wazembewazembe wazuru nk ambao sio wapiganaji wazuri na sio watu wenye akili.
Refer kilichotokea Msumbiji ambao ni jirani zao walifanya nini?
 
Back
Top Bottom