Weekend ijayo kwenye jumuiya watafaidi noti zangu aisee......
hahahahaha....dahhh, toa na sadaka basi kaka....hahaha
hahaha! I've been working on a BIG personal project, i will tell you more! Utakuwepo mjengoni kweli Mtazamaji?
Penalty shoot outs:will drogbas misfiring spirit haunt the Ivorians?
Weekend ijayo kwenye jumuiya watafaidi noti zangu aisee......
Unajua mkuu niliipenda sana Cipolopolo ya akina Effort Chabala na wenzake.....
Mimi nilikuwa nawafagilia wote mkuu........Pamoja na mtaalamu Kalusha BwalyaKatika kikosi hicho nalikuwa namfagilia sana Eston Mulenga
Hicho kiungo kinatisha mkuu.......Sinkala+Chansa = Siri ya ushindi
....stars yetu ya bongo ule uzalendo aliotuanzishia maximo kwishney....mtake msitake jamaa alileta motisha wa
uzalendo kuanzia media mpaka wachezaji...
tutaendelea kuwapigia makofi wenzetu, anyway....
hongera sana zambia, SINKALA big up kaka....lol!