Wakuu Sao Paulo...kunapendeza sana jamani....mwendo hiyo jana ilikuwa mfano wa hivi.....
msikose kuangalia ufunguzi wa World Cup...baadaye Wakuu tukutane kwenye gemu....both in soccer....Huko NBA Finals nitawasoma hapa kujua mambo yaliendaje.......
Siku za kugombana na "mwenzangu" zimewadia, saa 5 mpaka saa 7 niko na Soccer, saa kumi niko Miami pamoja na kina Pazi, RRONDO, BAK, Ab-Titchaz, Ogah na shifta, lol
Bahati nzuri sisi ma senior bachelors ukifanya hivi siku mbili shosti ananuna anajirudisha kwake, sijui wale wenzangu mlioko kwenye kifungo cha maisha.
Ndomana Juzi nimekosa game Leo nipo nasikilizia mpaka half!Siku za kugombana na "mwenzangu" zimewadia, saa 5 mpaka saa 7 niko na Soccer, saa kumi niko Miami pamoja na kina Pazi, RRONDO, BAK, Ab-Titchaz, Ogah na shifta, lol
Bahati nzuri sisi ma senior bachelors ukifanya hivi siku mbili shosti ananuna anajirudisha kwake, sijui wale wenzangu mlioko kwenye kifungo cha maisha.
Ndomana Juzi nimekosa game Leo nipo nasikilizia mpaka half!
Papa huyoo anataka kawaleta wanawe kuja ku Heat mambo South Beach! Sichezi mbali leo!
Macho yashaanza kucheka Half ya kwanza naweza kuwacha kutizama Leo Heat wanashinda japo nataka wafungwe Heat muhimu kushinda Leo.Ohhh kwahiyo leo hulali?
Heat leo inabidi washinde, wakifungwa hii game ya leo itakuwa ........
Macho yashaanza kucheka Half ya kwanza naweza kuwacha kutizama Leo Heat wanashinda japo nataka wafungwe Heat muhimu kushinda Leo.
Macho yashaanza kucheka Half ya kwanza naweza kuwacha kutizama Leo Heat wanashinda japo nataka wafungwe Heat muhimu kushinda Leo.
Pole mkuu! BAK Kasema kweli Papa ni ananuna sana hata akifata wachezaji wake unaona Kama soon atampiga kibao hata Duncan akimvuta pembeni Kama mtoto wa miaka 7 anavyosemeshwa sijawahi kuona smile yake.Coverage ya Supersport kwenye NBA ni very very poor, sijui kwanini waliitoa ESPN kwenye channels zao.
Wananiboaaa, sina option tu
Huyu jamaa nimeshindwa kumuelewa kabisa. Katika makocha wa NBA Teams kwa kununa hana mshindani. Hii mechi ya leo naona inaanza kuwa na muelekeo wa game ya tatu.
Umejuaje hata Mie nimekomaa na lakers tunajikosha tu kwa Spurs hapa Cipha naye anashangilia Spurs katoka kuni msg.Heat inaonekana watashinda leo... ila kuna kitu kinaniambia Spurs watakuwa mabingwa
Cipha Headz bado yeye kakomaa na Lakers tuu?