Umeongezwa dakika 6Mpiraaaaaaa ume.....
Biashara ya mapema imewageuikia.....Haya haya tena , wakuu kama tunavyofahamu leo ndio ile fainali tuliyoisubiri kwa muda mrefu .
Karibuni .
.................................
Nkulu anasawazisha 1-1
Half time still 1-0
30' Egypt 1 - Cameroon 0
22' Mohamed Elneny anaipatia Egypt goli la kwanza
- Goma limeanza dk 1 imekwenda
Updates - Timu zimejipanga , tayari kwa kuingia uwanjani .
- Kinyume na matarajio ya wengi , Egypt wanataka kumaliza biashara mapema sana .
Jamaa alikuwa ana sema eti wa afrika wenzetu Cameroon wafungwe ndio nikawa na mkumbushaMbona wanafungwaaaaaaaa na cameroon ndo mabingwa
UmekwishaaaaaaaaaMpiraaaaaaa ume.....
Team Wamanga Koko Mko wapiiiiiiiiiiiiii?[emoji12][emoji12][emoji12]
Hahahaahahahahahahahaaaaaa!!!Cameroon wamechukua kwasababu wapo karibu na yule TB...
HahahaBora Kombe limebaki Africa!
Africa for Africans!
sawa mkuu nmekusoma sawiaJamaa alikuwa ana sema eti wa afrika wenzetu Cameroon wafungwe ndio nikawa na mkumbusha
niko alone ila nimeshangilia kichizi ushindi. second half kulikuwa na bonge la mpiraHawafungiki kirahisi hivo bob
Wahamiaji haramu weshapigwa huko πππKama wewe sio mwanamichezo uzi huu upite mbali mambo ya ubaguzi pelekeni kwenye siasa,makabila na dini zenu
We all speak football ..ndio maana mpira unapoanza macaptain hubadilishana badge zilizoandikwa no racism
Lugha ya mpira ni mmoja ,msituletee ujinga wenu
Misri wana nidhamu ya mchezo toka mwanzo wa ligi 433 yao wanakabia kwenye half yao kuziba mianya na wanatumia wings ..misri hii tofauti na ya akina abutrika ambayo ilikuwa inafanya high pressing muda wote hawa temper yao ipo slow
Cameroon kati wapo vizuri ila mbele makali hawana halafu wasitumie crosses beki za misri juu wapo vizuri ,winga yao ya kulia yupo vizuri watumie flang ya kulia vizuri...
Subuuutu!!!Egypt fanya mambo huko