2017 Afcon Final - Egypt vs Cameroon. Cameroon wamechukua ubingwa kwa kushinda kwa magoli 2-1

2017 Afcon Final - Egypt vs Cameroon. Cameroon wamechukua ubingwa kwa kushinda kwa magoli 2-1

Cameroon saizi wana makombe 5 wameongeza record sasa ni timu ya 2 kwa makombe mengi Africa

Mido za cam zimetulia sana na ni vijana wadogo..

Hongera fabrice ondoa kijana wa miaka 20 kutoka la masia kubeba kombe lako na kumuweka nje mkongwe kameni

Misri temper yao ya slow wasingeshinda game hii
 
Haya haya tena , wakuu kama tunavyofahamu leo ndio ile fainali tuliyoisubiri kwa muda mrefu .

Karibuni .

.................................
Nkulu anasawazisha 1-1

Half time still 1-0

30' Egypt 1 - Cameroon 0

22' Mohamed Elneny anaipatia Egypt goli la kwanza

- Goma limeanza dk 1 imekwenda

Updates - Timu zimejipanga , tayari kwa kuingia uwanjani .

- Kinyume na matarajio ya wengi , Egypt wanataka kumaliza biashara mapema sana .
Biashara ya mapema imewageuikia.....
 
Hongera Cameroon [emoji1169][emoji1169][emoji1169][emoji1169][emoji1169][emoji1169][emoji471][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
 
Chezea Cameroon weye .... ... .... ........ ..... wamekomaa na waarabu.
 
Hahahahaha lol! Huu ni uchochezi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Team Wamanga Koko Mko wapiiiiiiiiiiiiii?[emoji12][emoji12][emoji12]
 
upload_2017-2-5_20-57-3.png


upload_2017-2-5_20-57-20.png


upload_2017-2-5_20-57-34.png


Final score Misri 1 - 2 Cameroon
 
Wanaendeleza libeneke la R. Mila hawa vijana.
 
Kama wewe sio mwanamichezo uzi huu upite mbali mambo ya ubaguzi pelekeni kwenye siasa,makabila na dini zenu

We all speak football ..ndio maana mpira unapoanza macaptain hubadilishana badge zilizoandikwa no racism

Lugha ya mpira ni mmoja ,msituletee ujinga wenu


Misri wana nidhamu ya mchezo toka mwanzo wa ligi 433 yao wanakabia kwenye half yao kuziba mianya na wanatumia wings ..misri hii tofauti na ya akina abutrika ambayo ilikuwa inafanya high pressing muda wote hawa temper yao ipo slow

Cameroon kati wapo vizuri ila mbele makali hawana halafu wasitumie crosses beki za misri juu wapo vizuri ,winga yao ya kulia yupo vizuri watumie flang ya kulia vizuri...
Wahamiaji haramu weshapigwa huko 😀😀😀
 
Back
Top Bottom