2017 nilitembea na mke wa superstar mkubwa bongo bila kujua

Duh
Hata mumewe akisoma atamjua ni mkewe bila kupepesa macho na wadau wengine.

Unataka kumvunjia ndoa yake?

Wala usihangaike ku edit copy zimeshadakuliwa tayari
Hata huyo mwanaume ameficha sura wakati mgongo wote uko inje
 
Kwani ungeiacha ikabaki siri yako na jamaa yako na huyo mwanamke ungepungukiwa nini mkuu?

Lengo langu sio kumdhalilisha mtu ndio maana sijaweka jina la mtu yeyote hapa, watu wamebaki ku-assume tu ila mwenye uhakika ni mimi mwenyewe. Nimeiandika hapa ili iwe funzo kwa sisi tuliok ktk mahusiano either ndoa au hzi relation za kawaida. Watu wanacheat to the extent that they dont respect their marriages anymore. Ukwel lazma usemwe brother. Mi ningejua ni mke wa mtu nisingepiga maana huwa spend malumbano na wenye ndoa zao.
 
Lakini kiongozi kwa jinsi ulivyielezea tu kama muhusika/mwenye mke akipitia huu uzi anaweza unganisha dots na akang'amua kuwa inayezungumziwa ni mke wake na inaweza sababisha ugomvi mkubwa na hata ndoa kuvunjika kitu ambacho kitawaathiri sana watoto
 
Kiunoni kwake kajichora nini maana mademu wa masuperstar kwa kupenda tattoo wanajiweza.
 
Lakini kiongozi kwa jinsi ulivyielezea tu kama muhusika/mwenye mke akipitia huu uzi anaweza unganisha dots na akang'amua kuwa inayezungumziwa ni mke wake na inaweza sababisha ugomvi mkubwa na hata ndoa kuvunjika kitu ambacho kitawaathiri sana watoto

Mfano ww hapo unaweza kuunganisha dot gan unadhani?
 
Hata shika alisema ana mabilion ya pesa urusi soon yanakuja ,,mpk leo simuoni yaani katokomea mitini kabisa [emoji1] hata wewe sikushangai unasema umelala na mke wa superstar kumbe inaweza kuwa asilimia mubwa ya watz ni kick na vioja visivyo na mashiko ofcourse naweza sema hujalala na mke wa superstar then ukaleta hbr za nongwa [emoji85] [emoji85] uwongo huo nakusuta ..

DR .SHIKA
 
Mfano ww hapo unaweza kuunganisha dot gan unadhani?
Mi siwezi maana sikuwa nje ya nchi, sio super star wa bong, sijafunga ndoa hadi mwananchi wakaiandika na heading ikasomeka "Msanii maarufu afunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu"
 
Ms€ng€ unajua kuandika.
 
Duh
Hata mumewe akisoma atamjua ni mkewe bila kupepesa macho na wadau wengine.

Unataka kumvunjia ndoa yake?

Wala usihangaike ku edit copy zimeshadakuliwa tayari
Sasa mnafanya vyogo ili muendelee kuishi kwenye ndoa ??
bora lisanuke
 
Du bado nafikiria huyo msanii atakua nani ...mana nnashauku ya kumjua
 
Mi siwezi maana sikuwa nje ya nchi, sio super star wa bong, sijafunga ndoa hadi mwananchi wakaiandika na heading ikasomeka "Msanii maarufu afunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu"

Zile zlikua fix kaka. Hakua nje ya nchi wala nn, halaf hyo mwanachi sio kwamba ni kichwa cha habar kiliandika vle isipokua ndan ndio mwandishi alisema amefunga ndoa na mpenz wake wa muda mrefu. So its very difficult to connect dot my brother.
 
Nlikua nasikia eti mwanaume ana kikoromeo kirefu kwa ajili ya kutunza siri ila mwanamke hana, sasa najiuliza wanaume wa siku hizi hamzaliwi navyo?
Au nlikua nadanganywa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…