Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mnafanya vyogo ili muendelee kuishi kwenye ndoa ??
bora lisanuke
Aliyekuwa mke wa Bob anasoma suza anakazwa sijapata kuonaMke wa Bob Junior huyoo..
Hahahah...nimefanya hvyo mkuuWe andika google hivi "msanii afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu" itakayokuja imefanana na hiyo ndiyo huyo mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaka umeweka too much details. Haihitaji genius kung'amua ni nani anaye zZile zlikua fix kaka. Hakua nje ya nchi wala nn, halaf hyo mwanachi sio kwamba ni kichwa cha habar kiliandika vle isipokua ndan ndio mwandishi alisema amefunga ndoa na mpenz wake wa muda mrefu. So its very difficult to connect dot my brother.
Wewe sote tunajua neno 'Superstar' hapa Bongo linatumiwa na wasanii wa tasnia gani.Wewe sema Zali la mentali lilikuangukia basi umepagawaaa...Katika maelezo yangu hakuna sehem nimetaja msanii. Nimesema superstar means ni mtu maarufu hapa nchini. Sijataja yupo ktk category gan. So mtajisumbua bure tu
Wewe sote tunajua neno 'Superstar' hapa Bongo linatumiwa na wasanii wa tasnia gani.Wewe sema Zali la mentali lilikuangukia basi umepagawaaa...
Ebwanaee umeacha clue kibao za kuweza kusearch na kumtambua ni nani. Nakutumia jina PM na nikipatia futa maneno nitakayo kuambia usije vunja ndoa ya watu na kusababisha mtoto akose malezi ya baba na mama.Hahaha sasa umegoogle kwa jina gan?
Ebwanaee umeacha clue kibao za kuweza kusearch na kumtambua ni nani. Nakutumia jina PM na nikipatia futa maneno nitakayo kuambia usije vunja ndoa ya watu na kusababisha mtoto akose malezi ya baba na mama.
Baada ya kugugo "afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu"
Naona kuna wa April 2016, July 2017 na December 2017.
View attachment 669403 View attachment 669404
Nilivyogugo hao ndo waliotokea Mkuu.Mbona mnakomaa na wasanii wa muziki tu. Kwan superstar lazma awe mwanamuziki?
•Kuna mabondia
•kuna wacheza mpira
•kuna wafanyabiashara
•kuna wacheza movie sijui filamu
•kuna watangazaji
•kuna wanasiasa na wengine wengi.
Sasa iweje mnakomaa na wanamuziki tu. Kwan tafsiri ya super star wenzangu mnaichukuliaje?
Mods hizi threads nyingine za kufungia tu.Nikuwekee jina ili iweje. Km unahis ni umbea potezea.