2017 nilitembea na mke wa superstar mkubwa bongo bila kujua

2017 nilitembea na mke wa superstar mkubwa bongo bila kujua

Zile zlikua fix kaka. Hakua nje ya nchi wala nn, halaf hyo mwanachi sio kwamba ni kichwa cha habar kiliandika vle isipokua ndan ndio mwandishi alisema amefunga ndoa na mpenz wake wa muda mrefu. So its very difficult to connect dot my brother.
Kaka umeweka too much details. Haihitaji genius kung'amua ni nani anaye z
ungumzwa. Umemkosea sana huyu Dada wa watu ingawa hata yeye hakufanya homework yake vizuri kukufahamu kabla hamjaenda chumbani. Mwisho kuna msema wa kimarekani unasema,'What happens in Vegas stays in Vegas.' Hukuwa na sababu ya kuja kumuanika Dada watu. Sababu you have just opened a Pandora box...
 
Mkuu, ngoja nitafute jina la star alyefunga ndoa January then nitarud, umesema wana watoto wawili? Ila mkuu umemwaga ubuyu, hii habari itamfikia mwenyewe, ungepunguza mbwembwe kidogo..
 
Katika maelezo yangu hakuna sehem nimetaja msanii. Nimesema superstar means ni mtu maarufu hapa nchini. Sijataja yupo ktk category gan. So mtajisumbua bure tu
Wewe sote tunajua neno 'Superstar' hapa Bongo linatumiwa na wasanii wa tasnia gani.Wewe sema Zali la mentali lilikuangukia basi umepagawaaa...
 
Wewe sote tunajua neno 'Superstar' hapa Bongo linatumiwa na wasanii wa tasnia gani.Wewe sema Zali la mentali lilikuangukia basi umepagawaaa...

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mbona unanilazmisha iwe msanii kwanini?
 
Hahaha sasa umegoogle kwa jina gan?
Ebwanaee umeacha clue kibao za kuweza kusearch na kumtambua ni nani. Nakutumia jina PM na nikipatia futa maneno nitakayo kuambia usije vunja ndoa ya watu na kusababisha mtoto akose malezi ya baba na mama.
 
Ebwanaee umeacha clue kibao za kuweza kusearch na kumtambua ni nani. Nakutumia jina PM na nikipatia futa maneno nitakayo kuambia usije vunja ndoa ya watu na kusababisha mtoto akose malezi ya baba na mama.

Tuma tu huko PM wenzio walikuja lakn wameishia kubashiri tu kma sheikh yahaya mwisho wa sku wamekosa wote.
 
Baada ya kugugo "afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu"

Naona kuna wa April 2016, July 2017 na December 2017.

Screenshot_20180105-231233.png
Screenshot_20180105-231332.png
 
Baada ya kugugo "afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu"

Naona kuna wa April 2016, July 2017 na December 2017.

View attachment 669403 View attachment 669404

Mbona mnakomaa na wasanii wa muziki tu. Kwan superstar lazma awe mwanamuziki?
•Kuna mabondia
•kuna wacheza mpira
•kuna wafanyabiashara
•kuna wacheza movie sijui filamu
•kuna watangazaji
•kuna wanasiasa na wengine wengi.
Sasa iweje mnakomaa na wanamuziki tu. Kwan tafsiri ya super star wenzangu mnaichukuliaje?
 
Mbona mnakomaa na wasanii wa muziki tu. Kwan superstar lazma awe mwanamuziki?
•Kuna mabondia
•kuna wacheza mpira
•kuna wafanyabiashara
•kuna wacheza movie sijui filamu
•kuna watangazaji
•kuna wanasiasa na wengine wengi.
Sasa iweje mnakomaa na wanamuziki tu. Kwan tafsiri ya super star wenzangu mnaichukuliaje?
Nilivyogugo hao ndo waliotokea Mkuu.
 
Back
Top Bottom