2018 FIFA World Cup: Yaliyojiri upangaji wa makundi ya Kombe la Dunia

Hapo ndo inabidi niagize popcorn ili niendelee kubeti Germany bingwa msimu huu ndg.

Sina sababu ya kukupinga ndugu,, Mpo vizuri sana,, ninawakubali. Japo kwa Argentina hope watafanya vizuri pia. Tuombe uzima ti
 
well said, naunga mkono hoja.
 
Kama uwanja utakuwa hujainama naipa nafasi Misri kutwaa kombe la dunia
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kombe la Dunia la FIFA kwa mwaka huu (2018) litafanyika nchini Urusi,
Ambapo mechi ya ufunguzi itapigwa tarehe 14 ya mwezi Juni kati ya Wenyeji Urusi na Saudi Arabia.,..
Welcome to this thread kujadili mambo yote kuhusu "FIFA World Cup 2018"!

Unaonaje uki-update thread kwa kuweka makundi kabisa, ikibidi ratiba za mechi kadhaa za ufunguzi etc.
 
Kivipi wale unawalenganixha na nchi gani tena na ujue xio history tu bali mfuatiliaji wa soka la Germany kwa ujumla na mpenzi wa Bayern Munich
Anafikiri kikosi cha Germany bado ni kilekile, Germany ni motooo
 
Kombe la dunia la mwaka huu litakuwa lenye matukio mengi ya racism kuliko fainali zote za hivi karibuni. Bookmark this comment!
 
Ahsante mkuu nilijua kuwa nitafanya hivyo baada ya muda,ila una matatizo ya "l"kwenye "r"
 
Labda mwaka inaweza kutokea miujiza kwa team zetu za Afrika kuingia Robo au Nusu fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…