2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Broo, Watoto watano nawaona wengi sanaaa asee, nafikiri kama mzee wangu angekua na watano sahiv wa mwisho nadhani angekua form 1
Uoga wako kutokana na dhana potofu ya utandawazi(eti maisha ni magumu)

Maisha sio magumu, binadamu ndio wagumu.

Kila kiumbe kilichopo humu Duniani kina riziki yake, na hauwezi kuzui riziki ya mwenzio.

Swali: Wewe kwenye familia yenu ni mtoto wa ngapi?
 

Hahaha daahh, 1 and tuko 3, Two Men and a girl
 
Basi wewe uwe mjukuu wangu wa hiari. Na ninafuraha sana kuwa nitaishi muda mrefu hadi kuona my biological wajukuu,vitukuu,vilembwe n.k.Positivity is my motto. Nakushukuru kwa kunitabiria mema. Kuitwa bibi ni baraka. Say Amen.
Hahahaha sawa
 
Hahaha alisha choropoa nyingi shule mayai hana😝😝😝
 
Fikisha 5, hapo ndio utaukonga moyo wangu, maana ndoto yangu ni kuwa na watoto kuanzia 5

Back to our AFCON, Super Eagles na IndomitableLions ni mechi ngumu, ila karata yangu nimeitupa kwa Indomitable Lions.
Mimi pia leo nawapa Cameroun. Ingawa sitegemei kuona mechi kali kutoka kwa hizi team mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…