Pole Best.Sikutarajia kabisaaa kilichotendeka kwa
1. Morocco
2. Egypt
Mechi ya tarehe 10/7 ndio itaamua kama mtatutoa basi nahamia huko best.
Ndio hapo utakaposhangaa tukimsimamisha mechi ya robo fainali. πππNajaribu kuimajini mikimiki ya bwanamdogo diatta hana mpinzani ππππ
Hahahaaaa. Sawa Best nasubiria japo tunaweza kuwatoa pia.Mimi nakuandalia zawadi murwa pale utapohamia kwetu.
Zawadi yenyewe itajulikana siku hiyo unahamia.
PortugalIlikuwa nchi gani?
Ndio hapo utakaposhangaa tukimsimamisha mechi ya robo fainali. πππ
Sawa Best. Tusubiri tuone.Impossible zawadi Utapata 100% sababu sisi nikubeba ndoo tu. Hakuna kisiki njiani tunang'oa vyote.
πͺπͺπͺπͺ
Sawa Best. Tusubiri tuone.
Hahahaaa. Ndio π πNaona unanitegeshea hapo ......π π
Hahahaaa. Ndio π π
ππ Usisahau tu kuleta Updates siku hiyo best.Hapo tusubirie tu wewe utapokea zawadi
ππ Usisahau tu kuleta Updates siku hiyo best.
Wewe jamaa una matatizo gani!???Acha mipasho kama unaimba taarabu,usituletee racism kwenye michezo,dunia inakwenda mbele wewe unarudi nyuma!! u are just a racist,hilo ni kombe la Africa na Africa ni moja bila kujali skin colour wala dini.
Ulisema robo final,wametolewa second round. Bado bado sana kufikia hata theluthi ya shehe Yahya. Mjukuu wangu njoo nikufundishe kutabiri.Hahaha bahati mbaya wameaibishwa mapema nitafute matunguli tu nimeanza kuwa mchawi
Mkuu naona kweny kubet umepaisha kabisa;bora ungepiga mwambaTulianza na timu 24 sasa zimepungua nakubaki timu 16 ambazo kwa kipindi cha miaka ya nyuma ndiyo zilikuwa idadi ya timu zinazo qualify kwenye mshindano ya Afcon. Sasa kwa lugha nyingine nikama vile Afcon ya mwaka huu ndo inaanza rasmi.
Atua ya 16 bora itaanza tarehe 5 siku ya ijumaa ambapo zitapigwa game mbili. Hii hapa ratiba kamili ya 16 bora.
Friday 5
Morocco vs Benin
Uganda vs Senegal
Saturday 6
Nigeria vs Cameroon
Egypt vs South Africa
Sunday 7
Madagascar vs DR Congo
Algeria vs Guinea
Monday 8
Mali vs Ivory Coast
Ghana vs Tunisia
Sio kama naichukia Uganda ila naona safari yao imewadia, Nigeria bye bye , Congo kwaeli ya kuonana, South Africa msalimieni Sana Mh. Rais Ramaphosa, Benin tutakutana tena mungu akipenda, Guinea tuliwapenda sana ila mungu kawapenda zaidi. Mali vs Ivory Coast, Ghana vs Tunisia hizo mechi wapenzi wakubet msiweke pesa yenu hapo nipagumu kweli kweli.
Senegal hawanusi fainali
Hii ni tegeta- yombo mkuu nje kabisa hiiMkuu naona kweny kubet umepaisha kabisa;bora ungepiga mwamba
Huna akili ya kuelewa nilichokiandika,ukikua utakua kukumbuka nilichokwambia.Wewe jamaa una matatizo gani!???
kwahiyo wapi hapo nimefanya racism???
Tuache ujinga watu weusi...
Wapi nimeigawanya hiyo Africa??
Mimi nimetoa utabiri wangu kama walivyotoa wengine sasa racism imeingiaje hapa??
Haya basi Algeria atachukua kombe umeridhika???