2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Leo anaonekana kuwa makini zaidi kqenye upande wa kadi. Juzi aligawa kadi kama maua first half.

Ila yupo makini sana, anafuata hatua hadi hatua, mpaka unaogopa kuiba rafu mana yupo bihinde yako.
Kweli mkuu
 
HT. Tunisia wana hali mbaya. Hawajapiga hata shoot moja. Wakati Senegal wamepata nafasi kama tatu.

Moja woodwork aliyopiga Sabaily, ya pili Niang aliyopiga kwa papara badala ya kutulia na mpira kwenda nje. Tatu sebaily tena huyu jamaa anaonekana kuwa na njaa ile mbaya.

Alou Sisse Kocha wa Senegal anatakiwa kumtoa Mbaye Niang sababu jamaa kwenye game hii na nyingine zilizopita amekuwa mzigo badala ya kusaidia team. Hana tofauti na Giroud anapoicheza ufaransa, anakuwa mzigo pamoja na kocha kuonyesha mahaba kwake.

Natabiri Game itaamuliwa kwa mikwaju ya penalt.
 
Anaruhusu mpira wa kihuni. Kupigana matakoni, kuumizana, kifupi anaruhusu rafu za kipumbavu kuvuruga mchezo
Ivi hawa marefa wa pembeni hawawezi kumuambia makosa kama hayo aliyoyapotezea?

Au wao wanaangalia offside tu?
 
Hii yamwisho jamaa ameonekana kudanganya kabsa, unamgonga mtu unaruka juu kama mruka kamba.
Binafsi niliona hivyo...halfu pia uamuzi hauangalii makosa tu na muda wenyewe...muda ulikuwa mbaya saana.
 
Back
Top Bottom