Ivi hawa marefa wa pembeni hawawezi kumuambia makosa kama hayo aliyoyapotezea?
Au wao wanaangalia offside tu?
Anaweza kui cost team, afanye sub amweke hata yule baldeNiang leo goli halion kabisa
Leo kafumba macho kadi hatoiHuyo ndio referee
Wadau mechi mnaangalia chanel gani..?Ok, ipi mechi inatangulia?
Leo kafumba macho kadi hatoi
Acha acha kabisa mkuuReferee mpumbavu unategea wamwite world huyu
Mwaarabu anapata penalt.