Yah! Ila tusubiri tuone itakuwaje best.Na hilo ndio jambo kubwa la msingi
Mechi itaamuliwa kwa umakini au ubovu wa referee
Good referee....tutampata champion halisi
Poor refereeing....rutampata champion fake
Of all Senegal will emerge the champion
Why you two is there something else going on here?Yah! Ila tusubiri tuone itakuwaje best.
π³π³π³π³π³Why you two is there something else going on here?
Wamemuaibisha amunike bureeeHii inaonyesha Taifa Stars ilikuwa kundi gumu Sana maana washindani wake wawili wametinga fainali! Hongera Taifa Stars [emoji122][emoji122][emoji122]
We nae ndio mawazo yako hayo kila siku. PM si ipo kama kuna la zaidi.Why you two is there something else going on here?
Hiyo habari ya movie zilizotafsiriwa usije ukaiongea mbele ya wanawake wa kiswahili. Ukiwanyima hizo asubihi kama hii ukiomba mzigo utaambiwa....kichwa au tumbo linaniuma
We nae ndio mawazo yako hayo kila siku. Nikuulize PM haipo kama kuna la zaidi mpaka nije kujitandaza hapa?
Wacha mawazo ya hovyo Mkuu. Sababu leo si mara ya kwanza.
Mpiga umande anaandikaHata mimi yananukera sana sikuji kwa sababu ya kupiga umande kidogo. Eti huwa naona shombo wanavyo tafsiri. Kisembuzi cha asam imebidi nikioe rekizo ya kula vumbi tu sasa.
Yaani. Kanishangaza mie.Crazy , akili za mwenzetu zinamtosha mwenyewe
Ni wa kumpuuza tu maana nakumbuka alishawahi kukuuliza kuhusu mimi piaWe nae ndio mawazo yako hayo kila siku. PM si ipo kama kuna la zaidi.
Wacha mawazo hayo Mkuu. Sababu leo si mara ya kwanza. Hivyo kila ninayecheka naye tu kuna something else. Lol
PM ni nyumbani kwa waziri mkuu siwezi kuja uko.We nae ndio mawazo yako hayo kila siku. PM si ipo kama kuna la zaidi.
Wacha mawazo hayo Mkuu. Sababu leo si mara ya kwanza. Hivyo kila ninayecheka naye tu kuna something else. Lol
Hahahaa. Kazi anayo kwa kweli.Ni wa kumpuuza tu maana nakumbuka alishawahi kukuuliza kuhusu mimi pia
Yaelekea anakufatilia kwa karibu πππ
Atakua amekusoma sasaHahahaa. Kazi anayo kwa kweli.
Yaani. Kanishangaza mie.
Amka toka ndotoniFainali itakuwa ya upande mmoja Senegal hawataleta upinzani kabisa ukizingatia na Kulibaly atakosa hiyo gemu watapigwa si chini ya chuma 2,ivory cost na Nigeria walikuwa bora kuliko Senegal bahati mbaya kwao wakikutana na Algeria wanayo njaa na wanaupiga mwingii
Nigeria wameniangusha sana
Algeria anabeba hili kombe ,,Fainali itakuwa ya upande mmoja Senegal hawataleta upinzani kabisa ukizingatia na Kulibaly atakosa hiyo gemu watapigwa si chini ya chuma 2,ivory cost na Nigeria walikuwa bora kuliko Senegal bahati mbaya kwao wakikutana na Algeria wanayo njaa na wanaupiga mwingii