KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Yaani hata nikishindana na shetani, au atheist, bado Mungu atakuwa hanipendelei mimi ninayemkubali? Huyo Mungu atakuwa sio 'fair'.Ndo maana Johan Cruyff ,Mungu angekuwa anasaidia team zishinde basi zingekuwaga zinatoka draw. Maana team zote mbili wanamwomba Mungu. Mind you that Mungu hana upendeleo.
Bado mawili tumrudishe matako misifa mkoani kwake akaendelee kukimbizana na vitambulisho vya ujasiliamaliWameshapigwa 3
Bao la bahati tu lile; bado tutawanyoa tu.Walitangulia na baskeli ya mabua sasa imewaka moto
Dua la bata hilo, mimi ni fan wa UG BTW😂😂😂Bao la bahati tu lile; bado tutawanyoa tu.
Warudi kwa kutrot yeye na wachezajiMh. Tutapigwa goli ngapi? Tujibu hata kwa vidole tuView attachment 1140590
Asivyo na haya Ataongea tena....Mh. Tutapigwa goli ngapi? Tujibu hata kwa vidole tuView attachment 1140590
Teh [emoji28]Bashite jiuzulu hukohuko
OyeeeeeeeeeeeeeeCCM OYEEEEEEEEEEE
Timu yetu inacheza mpira wa kubabaisha sana; utadhani ArsenalDua la bata hilo, mimi ni fan wa UG BTW😂😂😂