SAS boss anza kusoma koment kutoka chini kwenda juu zen utapata ukwel wa ulichokua unakiamin vs uhalisiaHahahaa........!
Hao Kenya tutawapiga hata goli 5 yaani " mkono"!
3-1Algeria vs kenya 2--0
Senegal vs Tanz 2--0
Algeria vs senegal 1--0
Tanzan vs Kenya = ?? Wataalamu wa mahesabu hebu shusheni equation hapo tuone fact. Mukianza na neno "if..."
Tatizo walimsahau jechaBado tunaweza kushinda...kwani uchaguzi ni lini?
HahahahaHahah hakuna bia nusu bei leo
Tatizo uwezo mdogo wa kufikiri. Hata kama wangetaka kutumia mashindano haya kama kete yao ya kisiasa wangeandaa mpango mkakati mzuri wa wataalamu na wao wangejisifu mwishooni huko, sasa wao wameanza kiwagawa wananchi kabla hata ya mechi kuchezwa.Hatimae timu ya chama imefungwa.Haya mambo ya kila kitu kufanywa kuwa ni siasa ndio matokeo yake.
Dua zangu siku zote ni wanasiasa kujiweka mbali na utaalam.Hapo tutapiga hatua
Mungu nae huwa anajua kubalansi mamboHili dude limeenda kuitia nuksi timu yetu. Hata mashabiki tulioko Misri alipokuja huyu misifaz kempu tulipoteza kabisa morali ya kushangilia maana ni nuksi najisi na kichefuchefu. Ila tungeshinda leo hizo sifa zake sijui tungejificha wapi sijui tu aise.
Wengi wamebaki watanzania wa majina tu kiukweli hapa kuna wanaccm na wapinzanzi nanwasiojielewa wako mipakaniMimi kwanzia leo sio mtanzania
Mungu nae huwa anajua kubalansi mambo
Wengine wanamtegemea zaidi mfalme kokoto ndo maana walijihakikishia ushindi pindi wakanyagapo ardhi ya mafarao.Mungu nae huwa anajua kubalansi mambo
Chief Imhotep,naheshimu uwezo wako wa fasihi. Naomba ulipitie upya bandiko. Najua utaelewa mkuu.Watu wanapiga ball wewe unaleta chuki za kiswahili.
Point!!Wengi wamebaki watanzania wa majina tu kiukweli hapa kuna wanaccm na wapinzanzi nanwasiojielewa wako mipakani
Naunga mkono hoja.Ahsanteni Harambee Stars, kazi niliyoitarajia mumeifanya vyema kabisa