Tz ni nchi ya kwanza ambayo wananchi wamejigawa kwenye team yao ya taifa kushabikia
JiweUnadhani ni Nani chanzo?
Wewe hutaki kuipa sapoti harambee?Sema peke yako na ukimaliza enda ukakojoe ulale
una maanisha nini ?Shangilieni vizuri lakini jiandaeni na kazi inayokuja mbele yenu
Jiwe
Pole nilidhani wajipigia makelele kama chizi. Harambee yeeeeeeaaahh!Wewe hutaki kuipa sapoti harambee?
Kifo cha kike kipo Vipi?Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi
View attachment 1140616
iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani
Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .
Umoja ni nguvu
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi
View attachment 1140616
iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani
Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .
Umoja ni nguvu
jamani wazalendo rudini kundini jamaniDuuh sio kikondoo?
Kwa kifupi kabisa
Harambee Stars waliombewa na Wakenya wote...lakini pia waliombewa na watanzania wapatao 59,999,910 ili washinde. Hapo ilikuwa ni lazima wapate ushindi tu. Ushindi huu umewafurahisha wakenya wengi na pia umewafurahisha watanzania wengi....EAST AFRICA STAND UP
TOGETHER WE STAND, ALONE WE FALL
Usijali wale tutawapata mbeleni tutapambana na wao kama wanaume.Shangilieni vizuri lakini jiandaeni na kazi inayokuja mbele yenu
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi
View attachment 1140616
iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani
Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .
Umoja ni nguvu
Bashite ya maanisha?Bashite Stars,matacou yenu!
Hongera Harambee Stars!
Cc MK254!
Siwezi acha shangilia hii timu kamweHata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi
View attachment 1140616
iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani
Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .
Umoja ni nguvu
Aiseee !!!Watanzania mniombee! Nani akuombee wewe kubwa la majizi, fisadi, muongo, mtekaji, mtesaji, nduli, dikteta na MUUAJI!? 😳