2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Tz ni nchi ya kwanza ambayo wananchi wamejigawa kwenye team yao ya taifa kushabikia


...michezo na hasa soka huunganisha Taifa (kwa baadhi ya nchi) lakini kwetu ni tofauti, wanasiasa wanajitokeza dakika za mwisho na kuanza kuleta mvurugo wa kiitikadi, ilhali soka ina sheria zake 17 zinazotuvua makoti na sare za vyama vya siasa.
Pumbavu sana wanasiasa wa CCM
 
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi

View attachment 1140616

iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani

Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .

Umoja ni nguvu
Kifo cha kike kipo Vipi?
 
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi

View attachment 1140616

iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani

Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .

Umoja ni nguvu

Bashite Stars,matacou yenu!

Hongera Harambee Stars!

Cc MK254!
 
Watanzania mniombee! Nani akuombee wewe kubwa la majizi, fisadi, muongo, mtekaji, mtesaji, nduli, dikteta na MUUAJI!? 😳

Kwa kifupi kabisa

Harambee Stars waliombewa na Wakenya wote...lakini pia waliombewa na watanzania wapatao 59,999,910 ili washinde. Hapo ilikuwa ni lazima wapate ushindi tu. Ushindi huu umewafurahisha wakenya wengi na pia umewafurahisha watanzania wengi....EAST AFRICA STAND UP

TOGETHER WE STAND, ALONE WE FALL
 
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi

View attachment 1140616

iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani

Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .

Umoja ni nguvu


....tumejitenga ili timu iweze kutekeleza ilani ya CCM na kushinda kama vili chama kinavyoshinda, bahati mbaya sana walichelewa kuwapeleka kina Jaji Semistocles Kaijage, na Athuman Kihamia wakatangaze matokeo.
 
Taifa stars ndio team ya wapi?Iliishia huko 1979 ..hii ya juzi na jana na leo ni watumishi wa serikali na wanachama wa CCM walikuwa uwanjani.Tuliambiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar...kuwa wanamwakilisha Raisi na chama Tawala.tunashukuru kwa matokeo maana tunazidi kuelewa kuwa kumbe Mungu wao si wetu ..
 
Hata kama Timu yetu imepoteza game hii dhidi ya Harambee Stars bado wachezaji wetu wanastahili pongezi kubwa sana , wamecheza kitimu ( total football ) na tena walikuwa na kasi sana hasa first half , ukilinganisha na game ya kwanza hii ilikuwa game nzuri mno ! nadhani malumbano na migongano ya viongozi
View attachment 1140616
iliyosambaa mitandaoni ilisaidia kuongeza hamasa yao uwanjani
Vinginevyo kwenye soka kuna kufunga na kufungwa , mpira umechezwa na Kenya wameshinda , niwaombe sasa wadau wote mliojitenga na timu hii rudini kundini tuifariji timu yetu , hii ni timu ya Taifa tuondoe tofauti zetu , maana imedhihirika sasa kwamba mtu mmoja mmoja hawezi kuleta mabadiliko ikiwa wengi wamejitenga , wanaoumia ni wachezaji wetu .
Umoja ni nguvu
Siwezi acha shangilia hii timu kamwe
 
Si kwa,ba watunwanafurahi kufungwa kwa timi bali wanafurahi kuna kundi limekomolewa kundi hili lilipania kuutumia uushindi wa leo kama wangeshinda kuwakomoa wenzao
 
Back
Top Bottom