Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 10,083
- 34,850
Tz ni nchi ya kwanza ambayo wananchi wamejigawa kwenye team yao ya taifa kushabikia
...michezo na hasa soka huunganisha Taifa (kwa baadhi ya nchi) lakini kwetu ni tofauti, wanasiasa wanajitokeza dakika za mwisho na kuanza kuleta mvurugo wa kiitikadi, ilhali soka ina sheria zake 17 zinazotuvua makoti na sare za vyama vya siasa.
Pumbavu sana wanasiasa wa CCM