2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Mzee Mwinyi alibatilisha usemi akasema Wendawazimu wengine hawaruhusu vichwa vyao kuwa majaribio

Sie ni Gunia la mashineni kila mtu anajikung’utia tu, awe na kiroba cha mahindi asiwe nacho , akijisikia tu anakunguta ule mgunia
Michuano ijayo tutafanya vizuri!
 
Mzee Mwinyi alibatilisha usemi akasema Wendawazimu wengine hawaruhusu vichwa vyao kuwa majaribio

Sie ni Gunia la mashineni kila mtu anajikung’utia tu, awe na kiroba cha mahindi asiwe nacho , akijisikia tu anakunguta ule mgunia
Michuano ijayo tutafanya vizuri!
 
Wananchi wenyewe wengi wao hawajui hata nchi yao inacheza leo,kumepoa sana.
 
Hivi hamna daladala la kutokea Misri mpaka Tanzania...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…