2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

1140488
 
Algeria wameifunga Senegal 1 - 0 na hivyo kuifanya Taifa stars ambayo itaifunga Harambee Stars ya Kenya muda mfupi ujao kuwa katika nafasi nzuri ya kusonga mbele.

Nitarudi baadae kuweka msimamo wa kundi letu.

Hakika Cairo kumenoga.........Amunike hoyeee!

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom