2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Mpelekeni Jecha haraka akaokoe Jahazi jamani. Huyo ni mshambuliaji hatari wa revolutionary pate!
 
Taifa stars ndyo timu iliyofugwa mechi zote kwa gori nyingi kuliko timu yoyote.

Kwa kifupi taifa stars ni timu kibonde kuliko timu zote zinazoshiriki afcon mwaka huu..

Hapa tunasubiri mvua ya magori kipindi cha pili.
Kwani hakuna sheria ya kuturuhusu tuachane na mechi is like tumepigwa KO. Anyway mungu (gods) ibariki Taifa stars.
 
Taifa stars ndyo timu iliyofugwa mechi zote kwa gori nyingi kuliko timu yoyote.

Kwa kifupi taifa stars ni timu kibonde kuliko timu zote zinazoshiriki afcon mwaka huu..

Hapa tunasubiri mvua ya magori kipindi cha pili.
Tumekutana na timu mbili za kiwango cha dunia.


Mbali na kufungwa stars wanacheza mpira kweli unaonekana.
Ni kwamba tu algeria ni timu ya dunia mkuu. Yaani tumepigwa magori yote matamu.tofauti na kenya tulifungwa goli za kijinga. Tunaweza kufanya poa michuano ijayo.
ukitoa kufungwa timu inabadilika tofauti na mechi ya kwanza.
 
Nchi ya chips mayai [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20190702-013831_Google.jpeg
 
Back
Top Bottom