2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

MASHAMBULIZI YA MARA KWA MARA LANGONI MWA TAIFA STARS

 
MASHAMBULIZI YA MARA KWA MARA LANGONI MWA TAIFA STARS YANENDELEA KWA SPIDI YA RADI

 
....
Screenshot_20190701-232023.jpeg
 
Chadema ni watu wanaokwenda na matukio hivyo tutegemee kabisa mjadala wa ubunge wa Tundu Lisu kufungwa leo.

Matokeo ya leo pale Cairo yanaweza kupelekea Chadema kuanza tena kuijadili kamati ya akina Haji Manara na kumsahau kipenzi chao Tundu Lisu.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Vipi hapo Lumumba ccm stars mnaongoza kwa goli ngapi mkuu
 
Timu haina mabeki.
Defensive skills ni zero.

Kuna kajamaa kapo pembeni huko namba 2 simjui jina anakimbizana na wachezaji tu....

Mwisho wa siku kanachoka...kanapitwa.

Mpira unapigwa kona hakuna mabeki wa kucheza kichwa. Wote kwenye kona wanasimama sehemu moja mmoja akipitwa na mpira wamepitwa wote.

Hili nililiona toka mechi ya Senegal.


Receiving skills kwa wachezaji wetu hakuna....unapokea mpira unachukuliwa na adui....hawajiamini...

Munkari wa wachezaji haupo...hawachezi kama wanawawakilisha Watanzania kama mimi mwenye uchingu na jina Tanzania..nikifungwa naona aibu...wao hawana morali wanacheza kama wapo kwenye mechi ya mchangani...

Siujui mpira ila hawa wachezaji wetu wakirudi wafunze basics za mpira...kutuliza kukaba...kupokea...hakuna vyote.

Kocha naye hata hapnyeshi kama ni kocha wa timu inayohitaji kusaodiwa uwanjani.

Na hili kalionyesha toka mechi ya Senegal...huyu jamaa hana uchungu na timu yetu ok sio Mtanzania basi angekuwa na uchungu na carrier yake...anaaibishwa uwanjani.

Cc sumbai
 
@daby hii timu inahitaji maombi saana na miujiza.

Kwani shida ni nini haswa?? Paka tunafungwa hivi??

Alafu baada ya miaka30 watassema dah tulivyo fuz afcon 2019 tulicheza saana kama wale wakina pita tino na pondamali wanavyo jisifu kucheza afcon kisha haawakuenda next stage
Timu haina mabeki.
Defensive skills ni zero.

Kuna kajamaa kapo pembeni huko namba 2 simjui jina anakimbizana na wachezaji tu....

Mwisho wa siku kanachoka...kanapitwa.

Mpira unapigwa kona hakuna mabeki wa kucheza kichwa. Wote kwenye kona wanasimama sehemu moja mmoja akipitwa na mpira wamepitwa wote.

Hili nililiona toka mechi ya Senegal.


Receiving skills kwa wachezaji wetu hakuna....unapokea mpira unachukuliwa na adui....hawajiamini...

Munkari wa wachezaji haupo...hawachezi kama wanawawakilisha Watanzania kama mimi mwenye uchingu na jina Tanzania..nikifungwa naona aibu...wao hawana morali wanacheza kama wapo kwenye mechi ya mchangani...

Siujui mpira ila hawa wachezaji wetu wakirudi wafunze basics za mpira...kutuliza kukaba...kupokea...hakuna vyote.

Kocha naye hata hapnyeshi kama ni kocha wa timu inayohitaji kusaodiwa uwanjani.

Na hili kalionyesha toka mechi ya Senegal...huyu jamaa hana uchungu na timu yetu ok sio Mtanzania basi angekuwa na uchungu na carrier yake...anaaibishwa uwanjani.

Cc sumbai
Wanatia aibu.
 
ALGERIA WANAPATA NAFASI NYINGI MNO LANGONI MWA TAIFA STARS, MASHAMBULIZI NI MAKALI

 
Poleni watanzania wenzangu. Hivi ni lazima nasisi tujue mpira?

I think tungewekeza kwenye michezo ambayo tupo good.
Timu haina mabeki.
Defensive skills ni zero.

Kuna kajamaa kapo pembeni huko namba 2 simjui jina anakimbizana na wachezaji tu....

Mwisho wa siku kanachoka...kanapitwa.

Mpira unapigwa kona hakuna mabeki wa kucheza kichwa. Wote kwenye kona wanasimama sehemu moja mmoja akipitwa na mpira wamepitwa wote.

Hili nililiona toka mechi ya Senegal.


Receiving skills kwa wachezaji wetu hakuna....unapokea mpira unachukuliwa na adui....hawajiamini...

Munkari wa wachezaji haupo...hawachezi kama wanawawakilisha Watanzania kama mimi mwenye uchingu na jina Tanzania..nikifungwa naona aibu...wao hawana morali wanacheza kama wapo kwenye mechi ya mchangani...

Siujui mpira ila hawa wachezaji wetu wakirudi wafunze basics za mpira...kutuliza kukaba...kupokea...hakuna vyote.

Kocha naye hata hapnyeshi kama ni kocha wa timu inayohitaji kusaodiwa uwanjani.

Na hili kalionyesha toka mechi ya Senegal...huyu jamaa hana uchungu na timu yetu ok sio Mtanzania basi angekuwa na uchungu na carrier yake...anaaibishwa uwanjani.

Cc sumbai
 
Poleni watanzania wenzangu. Hivi ni lazima nasisi tujue mpira?

I think tungewekeza kwenye michezo ambayo tupo good.
Upi sasa tupo good?...michezo mikubwa.

Footbal...riadha...basketball...

Zinauza nchi.

Mingine kama ngumi haziuzi nchi kivile ni mafanikio ya mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom