Timu ya ya wanawake ya Ufaransa inaelekea kuja kuwa tishio kubwa kwa marekani, kwani watoto hao nililiwaona wana ball controll ya hali ya juu sana. Ingawa wachina wamefungwa na ujerumani, ni dhahiri kuwa walikuwa na resistance kubwa na ujerumani ilicheza mchezo wa hali ya chini sana.
Dada zetu wa Banyana Banyana wa South Africa walianza vizuri na kuwapa wakati mgtumu Spain lakini wamekuwa wakielemea sana kadri muda unavyokwenda na dakika hihi hihii wamefungwa goli la pili; sijui kama watakata tamaa.
Ratiba kamili ya michezo yote iko hapa
Paris France
Updates: Banyana Banyana wameishiwa sana pumzi dakika za mwisho na kuishia kufungwa 3-1