2019 Mercedes S Class

2019 Mercedes S Class

Kwa huku Ulaya wanahimiza utumiaji wa gari za umeme hata congestion charge kuingia mjini ni bure kama gari ni zero emissions na Road tax pia hulipi
Sasa kama wangekuwa wanasaidia watu walete hayo magari na kuwashawishi makampuni ingebidi TRA nao wapunguze bei sana kwa magari ya umeme
Kwani hayo ndio magari ya future wapende wasipende
Na hayo ya mafuta ipo siku yatakuwa things of the past
Toyota Prius wanatumia sana cab drivers huku siku hizi ila wanakera sana barabarani maana wanaendesha polepole sana ili kutumia umeme tu yaani 30m/h
Lakini hapo mjapani kalamba dume mkuu
Kama zikiingia hizo huko kwa wingi Taxi na Uber watafaidi sana
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sio kwa shithole country yetu hii mkuu, huku TRA wanaweza wakaigeuza mradi wa kujineemesha kwa kutupiga makodi makubwa. "Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzie!" ndio hali ilivyo huku kiongozi ila naona kwa hakika 20 years ahead Combustion engine zitakuwa zimbaki kwenye mashine tu na Commercial vehicles. Maana train si tayari!
Hizo EV zinafaa sana kwa town shunts, hasa ukipata yenye atleast 100km/h ama 60m/h walau speed itakuwa inaridhisha. Uber watakuwa wanapeta tu. Sema nahisi wenye kampuni watachezesha kikokotoo chao 😂😂😂 kwa EV's
 
Sio kwa shithole country yetu hii mkuu, huku TRA wanaweza wakaigeuza mradi wa kujineemesha kwa kutupiga makodi makubwa. "Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzie!" ndio hali ilivyo huku kiongozi ila naona kwa hakika 20 years ahead Combustion engine zitakuwa zimbaki kwenye mashine tu na Commercial vehicles. Maana train si tayari!
Hizo EV zinafaa sana kwa town shunts, hasa ukipata yenye atleast 100km/h ama 60m/h walau speed itakuwa inaridhisha. Uber watakuwa wanapeta tu. Sema nahisi wenye kampuni watachezesha kikokotoo chao [emoji23][emoji23][emoji23] kwa EV's
Na kweli mkuu mwafrika anaapa kuliangamiza continent lake kwa kila namna
Yaani hatutaki maendeleo wala hatupendani na kama ni dawa tulipewa ya kuwa na roho ya hivyo basi jamaa wana akili sana
Sisi kila kauli ni ubabe au ya kumkandamiza mwananchi tu lakini maendeleo ni sifuri
Haya EV cars 2019 Audi ametoa 100% electric na Benz, Mini, Nissan leaf, BMW wote wameisha toa 100% electric
Lakini mkuu kama ni umeme zinakimbia sana ila tatizo hazina sauti kabisa
Hapo yakija huko honi lazima ziongezeke kwa sana [emoji3][emoji3]
Mkuu Africa watu sijui laana ya wapi imetupata yaani kuendelea ni mwiko kwetu kabisa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Na kweli mkuu mwafrika anaapa kuliangamiza continent lake kwa kila namna
Yaani hatutaki maendeleo wala hatupendani na kama ni dawa tulipewa ya kuwa na roho ya hivyo basi jamaa wana akili sana
Sisi kila kauli ni ubabe au ya kumkandamiza mwananchi tu lakini maendeleo ni sifuri
Haya EV cars 2019 Audi ametoa 100% electric na Benz, Mini, Nissan leaf, BMW wote wameisha toa 100% electric
Lakini mkuu kama ni umeme zinakimbia sana ila tatizo hazina sauti kabisa
Hapo yakija huko honi lazima ziongezeke kwa sana [emoji3][emoji3]
Mkuu Africa watu sijui laana ya wapi imetupata yaani kuendelea ni mwiko kwetu kabisa
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Tesla motors sahivi kazi wanayo! Maana huo mfumo utakuwa kama android alivyokuja kumuangamiza Symbian na Java kwenye Nokia. Sahivi kila kampuni linapambana kutengeneza EV!
Nmeiona ile Benz EQC4 kama sijakosea..imesimama kuanzia styling mpaka ride quality reviewers wanasema its all quiet in the Cabin. Maybe wabongo tutahamia benz sasa maana zile purukushani za kujaza V8's or V12's ilikuwa ligi kubwa. Ila hizi EV atleast kila mtu ana umeme kwake tutachaji tu kama simu.
Ila kwenye sauti hapo inabidi watutengenezee simulator za engine sounds tunazotaka ziwe zinapiga kwa speakers za redio ndani. Maana gari bila muungurumo ndio inakuwaje sasa, yani unakuwa kama unaendesha toy!
 
Tesla motors sahivi kazi wanayo! Maana huo mfumo utakuwa kama android alivyokuja kumuangamiza Symbian na Java kwenye Nokia. Sahivi kila kampuni linapambana kutengeneza EV!
Nmeiona ile Benz EQC4 kama sijakosea..imesimama kuanzia styling mpaka ride quality reviewers wanasema its all quiet in the Cabin. Maybe wabongo tutahamia benz sasa maana zile purukushani za kujaza V8's or V12's ilikuwa ligi kubwa. Ila hizi EV atleast kila mtu ana umeme kwake tutachaji tu kama simu.
Ila kwenye sauti hapo inabidi watutengenezee simulator za engine sounds tunazotaka ziwe zinapiga kwa speakers za redio ndani. Maana gari bila muungurumo ndio inakuwaje sasa, yani unakuwa kama unaendesha toy!
Tesla they have to play by the same rules kama watengenezaji wengine maana bei zake mmh kama hiyo moja anauza $35000 halafu eti akiweka na autopilot ni $39500 wakati wenzake kila kitu wanataka iwe standard
Sasa itabidi tuanze kuzizoea tu EV na magari makubwa bye bye


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
500Mill nyingi kwa mimi na wewe mkuu watu kama kina Bakhresa,Mengi huyu mwindi mjanja mjanja wakuitwa Manji wakiamua wanaisukuma hiyo ndinga hapa bongo tatizo ni pale waokota makopo watakapoanza kutoa toa hizo nembo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hahah road trips mtu akifikiria tu khs ma-traffic huko barabarani anaona sio inshu ngoja nipotezee.


Hapa dar nna ndg zangu najua kabisa hawajawahi kuendesha gari kutoka nje ya dar kwenda hata hapo bagamoyo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo bado potholes kibao kila kona, unakata tamaa mwenyewe.
 
Nilianza kupenda fast cars miaka ya thamanini na 81 ndio nikanunua gari langu la kwanza Nissan Skyline GT V6 ya 1989
1982 nikauza nikanunua brand new GT
Baada ya hapo nikawa nabadilisha nikanunua Nissan 280Z then Mustang
Mwisho nikaona isiwe shida nikaanza kuwa naenda Auctions na kununua fast cars na kupiga paint kama inahitajika halafu nabadilisha rims na kuweka za ghali halafu natamba nayo kwa muda naiuza

Niliyokuwa naipenda zaidi ni skyline gt ya 1977 ntaweka picha yake hiyo ilikuwa shetani aliyoitengeneza mjapani haitatokea
Baada ya hapo nikachukua Dodge Charger 450 hp mamaaaaaaa
Hili nikimbeba mtu lazima arudi na bus maana atalia barabara nzima
Kwa sasa tangu nimehamia huku nilipo nimeendesha chache sana kama R8 Audi na jaguar F-Type ni dude
Ntaweka picha zake
Siku zingine huwa naenda Knightsbridge kuangalia watoto spoiled wanaotamba na the most powerful and expensive cars
I am bit old now but i love fast cars bro na pia huwa sipitwi kwenye racing Silverstone

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hii Nissan Skyline GT ina legacy kubwa. Nafikiri Nissan GTR ime descend from Nissan Skyline GT.
 
Lexus bado anawatoa chafya ile LS ni next level!
Na bado Japan anazidi kuteka Soko lake kwa kuzifanya gari zake fun to drive ame enhance luxury scale with perfomance huku akimaitain reliability kwa kustic to naturally aspirated engines.
Wazungu wengi walio financially concious wanaziita Germany cars ni money pits, walioswitch kwenye Lexus wanazisifu kwa Reliability.
Wanadai with Lexus less time is spent in garage than the time the car is on road compared to BMW or Benz. German cars are high in performance and fun to drive but ndio hivyo trip moja road 3 Garage! Zinakwangua account balaa with high maintanance costs. Better leasing than buying them maana zinaloose value haraka mno compared to lexus.
Lexus kwa kweli ni very reliable. Hata zile za mwanzo. Mtu most people waliowahi kununua Lexus, lazima watarudi tena. Na kuna LS nyingi saana toleo la kwanza bado ziko barabarani mpaka leo kwenye hali nzuri kabisa.
 
Sio kwa shithole country yetu hii mkuu, huku TRA wanaweza wakaigeuza mradi wa kujineemesha kwa kutupiga makodi makubwa. "Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzie!" ndio hali ilivyo huku kiongozi ila naona kwa hakika 20 years ahead Combustion engine zitakuwa zimbaki kwenye mashine tu na Commercial vehicles. Maana train si tayari!
Hizo EV zinafaa sana kwa town shunts, hasa ukipata yenye atleast 100km/h ama 60m/h walau speed itakuwa inaridhisha. Uber watakuwa wanapeta tu. Sema nahisi wenye kampuni watachezesha kikokotoo chao 😂😂😂 kwa EV's
Unajua wazungu wana umeme wa kutosha. Wao wanajiruhusu kutumia umeme wa Nuclear bila shida kabisa, ila wanawakataza waarabu. So, very soon, watahamia kwenye umeme, na mafuta yatakwisha thamani, mwisho wa siku, waarabu watashuka chini na kujikomba kwa wazungu kupata hiyo technology. China ndio itakuwa tishio zaidi.
 
Hata Discovery 5 haijakaa kama 4 au 3.

Napenda gari zenye boxy shape.

Kwanini hawajaretain model yao kama Merc G63 au G65? Ambao wana miaka almost 40 na muonekano uleule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaani. Discovery la zamani lilikuwa na sura ngumu, safi sana. Yaani G Class inazidi kupendwa sababu ya hilo sura lake. Jamaa wanaharibu zaidi. Umeshaisikia Defender mpya? Yaani ni bora hata na Jimny mpya kwa kweli.
 
German ni fun to drive cars, zipo stable sana na comfortability ni ya hali ya juu. Ila linapokuja swala la Reliability sio kitu ambacho wanakiona muhimu. Sahivi wamehamia kwenye turbocharged engines na kupunguza pistons.
Huwezi kununua gari $180,000 halafu ndani ya miaka mitatu tu tu thamani ikawa imefika dollar $80,000! Na likishamaliza ile service plan yao waliokuwekea linaanza kukukamua kisawa sawa with series of problems. Taa ya check engine inawaka kila mara. We ni garage tu ukisolve hili linaibuka jipya. Inakukung'uta mfuko mpaka akili zitakukaa sawa na service yake sio zile za laki 2. Unazungumzia ma "M" kama gari yako ni very current.
Hii ni kweli kabisa. Na gari zao bila kuwa kwenye warrant ni balaa. Kuna jamaa yangu ana S Class ya 2016, iliungua taa ya kwenye kitasa cha mlango cha nje, kwenda kwa dealer, walimkamua dola 250 kubadilisha bulb tuu.
 
Point haswa umetoa
Kwa huku naziona Volvo cars ziko poa sana hata kwa usalama na uimara pia
Na sasa wanabadilisha gari zote kuwa na mfumo wa umeme
Na kila mwaka tunaona mabadiliko huku mkuu ya magari mapya na bei inazidi kupanda sana
Hata mechanics wa huku hawachafuki kabisa [emoji3][emoji3]
Nilienda garage moja ya German cars jamaa wamevaa kama doctors
Hebu angalia hata Japanese wametoa gari za umeme kama Nissan Leaf kadogooo halafu gusa bei

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Volve watachukua dunia hivi karibuni. XC90, XC60, XC40 zinasifiwa saana kwa features kibao.
 
Kwa huku Ulaya wanahimiza utumiaji wa gari za umeme hata congestion charge kuingia mjini ni bure kama gari ni zero emissions na Road tax pia hulipi
Sasa kama wangekuwa wanasaidia watu walete hayo magari na kuwashawishi makampuni ingebidi TRA nao wapunguze bei sana kwa magari ya umeme
Kwani hayo ndio magari ya future wapende wasipende
Na hayo ya mafuta ipo siku yatakuwa things of the past
Toyota Prius wanatumia sana cab drivers huku siku hizi ila wanakera sana barabarani maana wanaendesha polepole sana ili kutumia umeme tu yaani 30m/h
Lakini hapo mjapani kalamba dume mkuu
Kama zikiingia hizo huko kwa wingi Taxi na Uber watafaidi sana

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Rwanda wanaelekea huko. Nafikiri ni VW wamefungua plant huko, wanataka kuzalisha gari za umeme zinazokidhi mazingira ya kwetu.
 
Hii Nissan Skyline GT ina legacy kubwa. Nafikiri Nissan GTR ime descend from Nissan Skyline GT.
Yupo jirani yangu hapa nyumba ya 3 anayo R34 kaagiza kutoka japan maana hapa ni ghali sana kwa wakala especially GT-R hii ni mashine ingine mkuu ni balaa halafu bei zake ziko juu sana
Wakati huo kulikuwa na mechanic mmoja alikuwa anatufungia mtungi wa gas kwa racing
Ooh those days

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom