2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020.

Lilikuwa jambo ovu sana kuonyesha machaguzi na maamuzi ya raia walio wengi katika kupata wawakilishi wao hayana maana na yanaweza kupuuzwa bila consequences zozote. Jenga utakavyoweza kujenga lakini msingi muhimu kuliko wote wa taifa bora ni jinsi gani raia wanavyojiongoza kwa maamuzi yao ya wenyewe ya kidemokrasia yanayoheshimiwa na wote.
 
Itatuchukua miaka mingi kutoka kwenye hilo alilolianzisha, ni aibu sana sote tulikuwepo wakati hayo yote yanatokea na hatukufanya lolote!
Watu wenye fikra za kipumbafu kama wewe ndiyo mnasababisha haya matukio yaendelee...

Mnataka kusema Samia ameshindwa kumaliza hili tatizo?

Magufuli alianzisha task force ya TRA, bado ipo?

Mbona mnataka kutuonesha kama Samia ni dhaifu sana!

Sasa aliweza TRA, mnaamini hawezi kuwaondoa hawa watekaji?
 
Nilijua tu ujinga wa yule mshamba kutoka shamba chato lazima uendelezwe na watawala wengine maana hakuna mtawala ambae hapendi kuona kila jambo linamwendea vizur

Bahat nzur nchi hii wananchi hawana maamuz yoyote
 
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020.

Lilikuwa jambo ovu sana kuonyesha machaguzi na maamuzi ya raia walio wengi katika kupata wawakilishi wao hayana maana na yanaweza kupuuzwa bila consequences zozote. Jenga utakavyoweza kujenga lakini msingi muhimu kuliko wote wa taifa bora ni jinsi gani raia wanavyojiongoza kwa maamuzi yao ya wenyewe ya kidemokrasia yanayoheshimiwa na wote.
Raisi Mwinyi angekuwa na akili za kipumbafu kama hizi asingefanya mabadiliko yeyote.
 
Mwinyi ameikuta nchi ambayo kila mtu anamuimba Nyerere...

Ilichukua chini ya miaka miwili tu kubadili kila kitu...

Leo raisi Samia ana miaka minne madarakani, bado hana uwezo wa kubadilisha mabaya ya mtangulizi wake?

Amebadilisha karibu kila kitu...

Mna uhakika ameshindwa kusafisha hilo kundi?

Watu wajinga kama nyinyi ndio sababu hasa haya matukio kuendelea...

Maana wanajua watateka na kuua, lawama atapewa Magufuli...
 
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020.

Lilikuwa jambo ovu sana kuonyesha machaguzi na maamuzi ya raia walio wengi katika kupata wawakilishi wao hayana maana na yanaweza kupuuzwa bila consequences zozote. Jenga utakavyoweza kujenga lakini msingi muhimu kuliko wote wa taifa bora ni jinsi gani raia wanavyojiongoza kwa maamuzi yao ya wenyewe ya kidemokrasia yanayoheshimiwa na wote.
Mimba ya Magufuli itakutesa mpaka unakufa
 
Mwinyi ameikuta nchi ambayo kila mtu anamuimba Nyerere...

Ilichukua chini ya miaka miwili tu kubadili kila kitu...

Leo raisi Samia ana miaka minne madarakani, bado hana uwezo wa kubadilisha mabaya ya mtangulizi wake?

Amebadilisha karibu kila kitu...

Mna uhakika ameshindwa kusafisha hilo kundi?

Watu wajinga kama nyinyi ndio sababu hasa haya matukio kuendelea...

Maana wanajua watateka na kuua, lawama atapewa Magufuli...
Mabeyo alituuza Watanganyika kwa huyu Mkojani
 
Kiburi alichowapa bwana yule
download.jpeg
 
Kubadili uchumi ni rahisi zaidi kuliko kubadili siasa, ndio maana kuruhusu vyama vingi alisubiria mpaka wakati anakaribia kabisa kuondoka madarakani yakafanyika hayo mabadiliko.
Kwako utekaji ni siasa?

Ninachokiona kwenu ni chuki za kipuuzi kwa Magufuli...

Mnashindwa kujadili ubaya wa Samia kwasababu mlimsifia mwanzoni na sasa amewageuka...

Ninachojua mimi, raisi Samia anao uwezo wa kumaliza utekaji nchini, ni swala la yeye kuamua

Magufuli alikuta nchi imeanza kuathirika na ugaidi na alimaliza.
 
Itatuchukua miaka mingi kutoka kwenye hilo alilolianzisha, ni aibu sana sote tulikuwepo wakati hayo yote yanatokea na hatukufanya lolote!
Visingizio hivi
Wakati mama Samia anaingia alianzisha kikosi kazi ambacho waliwekwa wanasiasa wote na kupeleka maoni na vikao kila Mara ikulu, akaanzisha 4R , akatengua wale wote mliowalalamikia, mkasifu mkasema mambo ndio haya, barabarani mkajaza mabango mama msikivu anaupiga mwingi, siasa Safi na kila kitu kimewekwa na kuimbwa

Leo mmekwama mnarudi tena kusema nini? Acheni kuwa vipofu
 
Kubadili uchumi ni rahisi zaidi kuliko kubadili siasa, ndio maana kuruhusu vyama vingi alisubiria mpaka wakati anakaribia kabisa kuondoka madarakani yakafanyika hayo mabadiliko.
Kama unazungumzia siasa, Samia amefanya mabadiliko makubwa...

Hakukua na mikutano ya hadhara...

Hakukua na maandamano...

Hakukua na uhuru wa kutukana...

Sasa hivi mumepewa vyote...

Ni masikini wa akili tu ndio atafikiri hili la utekaji limemshinda raisi.
 
Kubadili uchumi ni rahisi zaidi kuliko kubadili siasa, ndio maana kuruhusu vyama vingi alisubiria mpaka wakati anakaribia kabisa kuondoka madarakani yakafanyika hayo mabadiliko.
Kikosi kazi kilichoundwa, 4R, maridhiano na vikao vya kila Mara ikulu , yote hayo mlisifu kuwa mambo safi. Sasa hivi lawama tena?
 
Kila nikifikiria kazi tuliyoifanya kwa jasho na damu kwa miaka 30 kujenge upinzani halafu yule mwovu wa Chato akatumia mabilioni ya kodi zetu kuiharibu kwa miaka minne nazidi kumchukia , waongeze kuni huko kuzimu roho yake izidi kuteseka.
 
Kila nikifikiria kazi tuliyoifanya kwa jasho na damu kwa miaka 30 kujenge upinzani halafu yule mwovu wa Chato akatumia mabilioni ya kodi zetu kuiharibu kwa miaka minne nazidi kumchukia , waongeze kuni huko kuzimu roho yake izidi kuteseka.
Lissu kawaambia ukweli ambao ndio mnapaswa kupambana nao. Viongozi wako wa upinzani waliahidiwa uwaziri, ubunge na nusu mkate. Kama huo ndio upinzani mlioujenga basi na nyie mnastahili kuni
 
Kwako utekaji ni siasa?

Ninachokiona kwenu ni chuki za kipuuzi kwa Magufuli...

Mnashindwa kujadili ubaya wa Samia kwasababu mlimsifia mwanzoni na sasa amewageuka...

Ninachojua mimi, raisi Samia anao uwezo wa kumaliza utekaji nchini, ni swala la yeye kuamua

Magufuli alikuta nchi imeanza kuathirika na ugaidi na alimaliza.
Utekaji ni matokeo ya siasa chafu zilizoasisiwa na marehemu Magufuri.
 
Back
Top Bottom