2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

Kingine huyu mamaenu kwani kaiga mabaya tu?

Mazuri ya JPM mbona nayo kayatupa kapuni.?
 
Mama alianza vizuri!

Wahuni wakamtoa kwenye reli kupitia gazeti la uhuru baada ya hapo akapoteza urais wake na kuwa mgombea urais na kampeni akaanza rasmi hadi leo!

Kama anapiga kampeni ya urais kabla ya uchaguzi maana yake nchi Haina Rais Bali mgombea urais!!!
 
Mimi ni chama pinzani na upinzani upo kwenye damu

Ila hoja za kijinga nitaendelea kuzipinga hata zikitoka kwa anayeaminika kwa wapinzani

Wainzani inatupasa tuwe na viongozi wanaoona mbaali sana kuliko kama huyu mleta uzi

JPM ndiye aliyeimarisha upinzani kwa sababu za ama alikuwa anakusudia ama kwa bahati mbaya, Yeye mwenyewe alikuwa ni mpinzani ndani ya maccm na ndiyo sababu ya yeye kuisrailiwa

Ni mtu mjinga tu ambaye ameendelea kuponda namna ya siasa za Magufuli, ni watu wajinga tu ambao hawana uono wa mbali

Ukiondoa hiyo miaka ya siasa mnazoziita zilikuwa ni maangamivu na uhalamia wa siasa nchini, leo sasa kiko wapi?

Kina Wembo wanakula bata na maccm halafu mnakaa kusingizia JPM

Wehu kabisa huu
 
Mimi ni chama pinzani na upinzani upo kwenye damu

Ila hoja za kijinga nitaendelea kuzipinga hata zikitoka kwa anayeaminika kwa wapinzani

Wainzani inatupasa tuwe na viongozi wanaoona mbaali sana kuliko kama huyu mleta uzi

JPM ndiye aliyeimarisha upinzani kwa sababu za ama alikuwa anakusudia ama kwa bahati mbaya, Yeye mwenyewe alikuwa ni mpinzani ndani ya maccm na ndiyo sababu ya yeye kuisrailiwa

Ni mtu mjinga tu ambaye ameendelea kuponda namna ya siasa za Magufuli, ni watu wajinga tu ambao hawana uono wa mbali

Ukiondoa hiyo miaka ya siasa mnazoziita zilikuwa ni maangamivu na uhalamia wa siasa nchini, leo sasa kiko wapi?

Kina Wembo wanakula bata na maccm halafu mnakaa kusingizia JPM

Wehu kabisa huu
Mjinga wewe upinzani ulikuwa imara kabla ya JPM lakini alipokuja akawa anapambana na upinzani kuliko maendeleo ya Watanzania kwa muda wa miaka mitano.
 
Mjinga wewe upinzani ulikuwa imara kabla ya JPM lakini alipokuja akawa anapambana na upinzani kuliko maendeleo ya Watanzania kwa muda wa miaka mitano.
WALOLA VUNZYA! Staki niseme chochote kukuhusu

Ila elewa tu kwa sasa, viongozi wa upinzani kwa sasa ndio wakulaumiwa, kwa sabbu wanatusaliti wanachama wao

Tukirudi katika siasa za kipindi cha JPM, hizo ndo siasa za kuimarisha upinzani na sio ambazo wanafanya leo viongozi wetu, siasa za maridhiano kwenye mambo ambayo yako wazi?

Joto lililokuwa likipikwa na mwendazake, ni joto kamili la mapinduzi ya kweli nchini

Siasa zilizopo leo, tutakaa nje ya ulingo miaka 500,

Shauri yako
 
Mimi ni chama pinzani na upinzani upo kwenye damu

Ila hoja za kijinga nitaendelea kuzipinga hata zikitoka kwa anayeaminika kwa wapinzani

Wainzani inatupasa tuwe na viongozi wanaoona mbaali sana kuliko kama huyu mleta uzi

JPM ndiye aliyeimarisha upinzani kwa sababu za ama alikuwa anakusudia ama kwa bahati mbaya, Yeye mwenyewe alikuwa ni mpinzani ndani ya maccm na ndiyo sababu ya yeye kuisrailiwa

Ni mtu mjinga tu ambaye ameendelea kuponda namna ya siasa za Magufuli, ni watu wajinga tu ambao hawana uono wa mbali

Ukiondoa hiyo miaka ya siasa mnazoziita zilikuwa ni maangamivu na uhalamia wa siasa nchini, leo sasa kiko wapi?

Kina Wembo wanakula bata na maccm halafu mnakaa kusingizia JPM

Wehu kabisa huu
Chadema aliikuta na wabunge zaidi ya 100 akavuruga upinzani tena kwa mtutu wa bunduki akawabakishia mbunge mmoja ndiyo kuimarisha upinzani?
 
Watu wenye fikra za kipumbafu kama wewe ndiyo mnasababisha haya matukio yaendelee...

Mnataka kusema Samia ameshindwa kumaliza hili tatizo?

Magufuli alianzisha task force ya TRA, bado ipo?

Mbona mnataka kutuonesha kama Samia ni dhaifu sana!

Sasa aliweza TRA, mnaamini hawezi kuwaondoa hawa watekaji?
Una umri gani dogo pumbavu
 
Yaani mmeshindwa kuendesha nchi haraf lawama mnampa mtu mwengine, like wtf bro.

Kwanin hamuwezi ku take responsibility kwenye mambo ambayo yapo kwenye awamu na utawala wenu direct,

Kitendo cha kumlaumu mtu kwa udhaifu wako basi ni totally failure.

Najua mwaka 2025 katika uchaguzi wenu moja ya agenda muhimu ya Samia ni kutokomeza utekaji.
 
Yaani mmeshindwa kuendesha nchi haraf lawama mnampa mtu mwengine, like wtf bro.

Kwanin hamuwezi ku take responsibility kwenye mambo ambayo yapo kwenye awamu na utawala wenu direct,

Kitendo cha kumlaumu mtu kwa udhaifu wako basi ni totally failure.

Najua mwaka 2025 katika uchaguzi wenu moja ya agenda muhimu ya Samia ni kutokomeza utekaji.
Unaelewa athari za bunge kubaki la chama kimoja??
 
Kama unazungumzia siasa, Samia amefanya mabadiliko makubwa...

Hakukua na mikutano ya hadhara...

Hakukua na maandamano...

Hakukua na uhuru wa kutukana...

Sasa hivi mumepewa vyote...
Muulize vizuri ChoiceVariable kilichomkuta Sugu hivi karibuni walipokuwa wanajianda kwa mkutano wa vijana.
 
Back
Top Bottom