2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

Suluhisho ni KATIBA MPYA na MFUMO MPYA WA UCHAGUZI
Ni kweli,
Ila Unaanzia wapi sasa kupata hayo wakati walioshika mpini hawataki yote hayo?

'Failed states' huwa zinaanza hivi hivi maana sikio la kufa halisikii dawa
 
Unataka nikutajie watu waliopotea ambao wewe unawafahamu au nikutajie watu waliopotea ambao Mimi Nina taarifa na hawaonekana mpaka leo????
Vyovyote vile utakavyoona inafaa
 
Yaani unachotaka kuimply hapa ni kwamba kwenye awamu ambayo idadi ya watu waliopotea walikuwa ni wachache hiyo ni awamu Bora na salama so ndio maanake???
NDIYO.
 
Wakati wa Ben na JK angalau watu walikuwa wanaweza kupata hata nafasi ya kushiriki kugombea, ikifika wakati wa kutangaza matokeo ndio mtiti unaanza, wapinzani walioweza kukomaa na watangaza matokeo baadhi angalau waliambulia chochote, Huwezi kufananisha na kipindi ambacho wagombea hata kuingia tu kwenye nafasi za kugombea ni kivumbi na jasho.
Kumbe tatizo lilikuwepo likaachwa na limekuwa mimi nilidhani ni jambo jipya halikuwahi kuwepo.
 
Wewe akili huna, yawezekana hata ubongo wako uko matakoni na Hilo fuvu lako hapo ndio limejaza mavi tu.

Majitu kama wewe mtu akikukata viungo vyote, akakutoboa na macho, kisha akakuacha hapo utamshukuru eti kwa sababu hajakuua.

CCM ni ile ile... Endeleeni kulaumu wafu huku nchi ikidumbukia shimoni maana hamna akili ya kutatua changamoto zaidi ya kulaumu.
 
Ni kweli,
Ila Unaanzia wapi sasa kupata hayo wakati walioshika mpini hawataki yote hayo?

'Failed states' huwa zinaanza hivi hivi maana sikio la kufa halisikii dawa
Kwanini mtegemee huruma ya walioshika mpini kuleta mabadiliko???
 
Huu ujinga na kutostaarabuka Samia ni mnufaika hivyo hawezi kuuacha kama ambavyo kaamuwa kuendeleza utekaji na mauwaji ya wasiojulikana. Yote yanamnufaisha.
 
Hawa ni wehu ndugu yangu usijisumbue.
Wajinga sana Hawa.

Binafsi wabongo wengi hususani Hawa wa kizazi hiki Cha malalamiko huwa nawadharau sana.

Wapumbavuu hawajui wanavyoendelea kulaumu awamu iliyopita kwa makosa yanayofanyika awamu hii ambayo kimsingi yanazuilika, automatically hapo wanaipa freedom of accountability serikali ya Samia... Yaani atafanya chochote anachojiskia akijua fika kwamba lawama zote zitaelekezwa kwa Magufuli... Sasa si ni uwendowazimu huo
 
Kwanini mtegemee huruma ya walioshika mpini kuleta mabadiliko???
Wajinga sana Hawa.

Binafsi wabongo wengi hususani Hawa wa kizazi hiki Cha malalamiko huwa nawadharau sana.

Wapumbavuu hawajui wanavyoendelea kulaumu awamu iliyopita kwa makosa yanayofanyika awamu hii ambayo kimsingi yanazuilika, automatically hapo wanaipa freedom of accountability serikali ya Samia... Yaani atafanya chochote anachojiskia akijua fika kwamba lawama zote zitaelekezwa kwa Magufuli... Sasa si ni uwendowazimu huo
Mkuu,
Hili ni jukwaa huru. Kama una mawazo ya kujenga yanayotekelezeka yaweke hapa, yumkini yanaweza kuokoa hiki kizazi kutoka kwenye makucha ya wetekaji, wezi, wanyang'anyi,... na machawa wao
 
Mwinyi ameikuta nchi ambayo kila mtu anamuimba Nyerere...

Ilichukua chini ya miaka miwili tu kubadili kila kitu...

Leo raisi Samia ana miaka minne madarakani, bado hana uwezo wa kubadilisha mabaya ya mtangulizi wake?

Amebadilisha karibu kila kitu...

Mna uhakika ameshindwa kusafisha hilo kundi?

Watu wajinga kama nyinyi ndio sababu hasa haya matukio kuendelea...

Maana wanajua watateka na kuua, lawama atapewa Magufuli...
Wewe mbona unatukanatukana tu hovyo??....Watu hawataki maneno hewa, watu wanajudge kulingana na matukio yanayotokea.
Magufuli ndo aliongeza nguvu za serikali kuharibu chaguzi...mtihani wa kwanza wa Mama ni uchaguzi wa serikali za mitaa...Vipi karekebisha chochote??Kaishaharibu
Kifo ni kifo tu, Drama
 
Wajinga sana Hawa.

Binafsi wabongo wengi hususani Hawa wa kizazi hiki Cha malalamiko huwa nawadharau sana.

Wapumbavuu hawajui wanavyoendelea kulaumu awamu iliyopita kwa makosa yanayofanyika awamu hii ambayo kimsingi yanazuilika, automatically hapo wanaipa freedom of accountability serikali ya Samia... Yaani atafanya chochote anachojiskia akijua fika kwamba lawama zote zitaelekezwa kwa Magufuli... Sasa si ni uwendowazimu huo
Wewe umefanya nini?? Au wewe ni Mkenya au Mganda?? Hao wabongo unaowasema na wewe upo humohumo- tabia hizohizo..
 
Wewe mbona unatukanatukana tu hovyo??....Watu hawataki maneno hewa, watu wanajudge kulingana na matukio yanayotokea.
Magufuli ndo aliongeza nguvu za serikali kuharibu chaguzi...mtihani wa kwanza wa Mama ni uchaguzi wa serikali za mitaa...Vipi karekebisha chochote??Kaishaharibu
Kifo ni kifo tu, Drama
Kwahiyo kwa akili yako,

Rais Samia hana uwezo wa kuitisha uchaguzi huru na wa haki kwasababu 2019 haukua huru?
 
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020.

Lilikuwa jambo ovu sana kuonyesha machaguzi na maamuzi ya raia walio wengi katika kupata wawakilishi wao hayana maana na yanaweza kupuuzwa bila consequences zozote. Jenga utakavyoweza kujenga lakini msingi muhimu kuliko wote wa taifa bora ni jinsi gani raia wanavyojiongoza kwa maamuzi yao ya wenyewe ya kidemokrasia yanayoheshimiwa na wote.
Amecha maovumengi sana, karibu Kila Nyanja, Mungu Tunaomba Huruma Yako Amina
 
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020.

Lilikuwa jambo ovu sana kuonyesha machaguzi na maamuzi ya raia walio wengi katika kupata wawakilishi wao hayana maana na yanaweza kupuuzwa bila consequences zozote. Jenga utakavyoweza kujenga lakini msingi muhimu kuliko wote wa taifa bora ni jinsi gani raia wanavyojiongoza kwa maamuzi yao ya wenyewe ya kidemokrasia yanayoheshimiwa na wote.
Sahihi
 
Wewe umefanya nini?? Au wewe ni Mkenya au Mganda?? Hao wabongo unaowasema na wewe upo humohumo- tabia hizohizo..
Kuhusu Mimi nimefanya nini? swali zuri sana.

Binafsi Mimi huwa sipendi unyonge na nikiona jambo haliko sawa huwa silikalii kimya lazima nitafute namna ya kukabiliana nalo au nimuwajibishe muhusika.

Kuna kipindi mtaani kwetu kulikuwa na wezi sana, watu walikuwa wanavamiwa usiku na vibaka wanaibiwa flat screens zao na wengine mifugo...!!

Wengi walikuwa wanaishia kulalamika tu bila kuchukua hatua yoyote, ikabidi Mimi nimtafute mwenyewe kiti na mtendaji wa kata na kuwashurutisha waitishe kikao Cha nzengo kwa ajili ya majadiliano ya kukomesha huo wizi... Na kweli Hilo likafanyika.

Tukawekeana mkubaliano pale tutafute walinzi tutakaowalipa Kila mwezi na kwa asiyelipa basi yeye atakuwa anaungana na wale walinzi kulinda usiku.

Nililisimamia Hilo zoezi kwa muda wa miezi mitatu na likaleta matokeo chanya, wizi uliisha kabisa ule mtaa mpaka naondoka sikuskia mtu yeyote kaibiwa.

Kwa hiyo unaweza ukaona ni jinsi gani nilivyokuwa na spirit au uthubutu wa kuleta mabadiliko,

Mimi sio mtu wa kulalamika lalamika tu hata kwa jambo ambalo naona linawezekana kutatulika, nitoe kwenye kundi la hao wabongo wanapenda kulalamika bila kuchukua hatua huku wakitegemea sijui huruma ya Mungu.
 
Mkuu,
Hili ni jukwaa huru. Kama una mawazo ya kujenga yanayotekelezeka yaweke hapa, yumkini yanaweza kuokoa hiki kizazi kutoka kwenye makucha ya wetekaji, wezi, wanyang'anyi,... na machawa wao
Kama hamjui nini Cha kufanya jifunzeni hata kwa majirani zenu hapo, kwanini serikali yao inaweheshimu na haiwezi kufanya maamuzi ya kipuuzi huku raia wao wakiwa wanashuudia.

Na siku mkilianzisha malizeni kwanza Hawa machawa, maana wao ndio kirusi namba Moja kwa Sasa.
 
Back
Top Bottom