2020/21 Simba atafungwa 5-1 na Yanga

2020/21 Simba atafungwa 5-1 na Yanga

Mtateseka sana na kubaki kutoa visibgizio kama sio simba kucheza na vita msingewaona hao wachezaji, kama sio simba kuwaalika asante kotoka msingeona wachezaji , kama sio simba kucheza na sevilla msingetafuta ushirikiano nao hii inaonyesha kila simba anachofanya mnaiga hamna jipya
Naona Kama unanung'unika bure, Sevilla haikuletwa na Simba Tanzania, Morrison aliletwa na Yanga Simba wakamuona. Ninachosema mm Kiko wazi, Kama Yanga ile ya Jana iliweza kutoka sare na kuifunga Simba 1-0 Basi Yanga hii ya Leo Kama itapata kocha mzuri, matunzo, mishahara kwa wakati na posho mbalimbali inao uwezo wa kuifunga Simba 5-1.

Sababu kubwa niliyoitoa Ni Simba hakufanya usajiri mkubwa Sana msimu huu hivyo wachezi wengi na kocha Ni walewale waliofunga na Yanga mbovu, Kagera, Mbao, mwadui. Sababu ya pili, Simba Ina wachezaji muhimu wengi ambao Ni wazee ambao Kama atapata jeraha (sprains) kupima kwake Ni kwa polepole sana, siunajua namna viwanja vya mikoani vilivyo vibovu na Simba na Yanga zinavyokamiwa na timu ndogo?, Tatu Yanga safari hii imefanya usajiri mkubwa/mzuri kulinganisha na misimu 3 iliyopita, nne, Yanga safari hii Wana wafadhiri sio Kama Yanga ile ya Zahera, tano, Morrison anaweza asicheze Simba, maana Yanga bado wanaendelea kunung'unika huko FIFA kwa wenye mpira wao.

Msichoelewa hapo n Nini?
 
Kwahio Msjimu Ulioisha Simba Haikucheza Viwanja Vya Mikoani? Au Unaowataja Kwamba Niwazee Hawakuwa Wamezeeka? Hako Kausajili Kako Kanusu Timu Nzima Ndokamekupa Kiwewe Chakuja Kujigamba Hapa Jukwaani? Hao Kinamukoko, Kisinda, Farid, Waziri, Moro, Feisal, Kaseke, Yacouba, Kibaya, Mwanyeto Unataka Kuwaweka Juu Yakina Joash? Mkude? Bwalya? Chamason? Miquison? Morison? Ajib? Kagere? Boko? Kahata? Wawa? Kapombe? Tshabalala? Ebu Kalale Tena, Huwenda Unaota Mzee,
 
Kwahio Msjimu Ulioisha Simba Haikucheza Viwanja Vya Mikoani? Au Unaowataja Kwamba Niwazee Hawakuwa Wamezeeka? Hako Kausajili Kako Kanusu Timu Nzima Ndokamekupa Kiwewe Chakuja Kujigamba Hapa Jukwaani? Hao Kinamukoko, Kisinda, Farid, Waziri, Moro, Feisal, Kaseke, Yacouba, Kibaya, Mwanyeto Unataka Kuwaweka Juu Yakina Joash? Mkude? Bwalya? Chamason? Miquison? Morison? Ajib? Kagere? Boko? Kahata? Wawa? Kapombe? Tshabalala? Ebu Kalale Tena, Huwenda Unaota Mzee,
Mkuu Kama mwaka Jana walikuwa wazee jee mwaka huu siwamekuwa wazee zaidi? Au nalo hilo hujui kuwa uzee unaonyezeka na miaka? Kwao huu Ni msibu wa kuingia Kama sub tu wakati wakikaribia kutundika daluga. Lakini wacha ligi ianze halafu turudi Tena kwenye huu uzi
 
Kutokana na usajili unaofanyika kwenye timu zetu, Simba Kuna mechi itafungwa magoli 5-1 na Yanga msimu ujao. Moderator tafadhali utunze pazuri huu uzi kwaajili ya matumizi ya baadae.

Vigezo nilivyotumia kufikia utabiri huu Ni kuwaangalia Kagere, Boko, Mkude, Kapombe, Nyoni, Wawa ambao Ni wazee Sana lakini pia hawana jipya.

Nawaangalia pia akina ndemla, shabalala, kamagi, HD, Ajibu, Hawa nao Ni walewale waliosumbukiwa na Mbao, Kagera, Mtibwa, mwadui na Yanga mbovu iliyokuwa na misukosuko mingi msimu uliopita. size yao wachezaji hawa walikuwa akina Ali Ali, Ali Mtoni, Ngassa, Shabanii, na Molinga waliondoka.

Siwaoni wachezaji wa Simba watakaoweza kushindana na akina Nondo, Moro, Mauya, Yacoub, Sarpong, Balama, Tusilla, Mukoko, Ninja, Wazir Jr, Niyonzima, Toto, Farid, ....

Wale wazee wa Simba wakikanyagwa kwenye mechi na Ruvu shorting na Ihefu kwenye viwanja vibovu majeraha yao yatawaweka nje robo ya msimu kwa uzee.

Samahani jamani kwa utabiri huu kwa wale nitakao wakwaza.

Wewe jamaa huwa unaandika utopolo sana!
Hebu tueleze hapa simba ilipata aibu gani sasa..!? Simba yaelekea kupata aibu kwa Mwakalebela
 
Kutokana na usajili unaofanyika kwenye timu zetu, Simba Kuna mechi itafungwa magoli 5-1 na Yanga msimu ujao. Moderator tafadhali utunze pazuri huu uzi kwaajili ya matumizi ya baadae.

Vigezo nilivyotumia kufikia utabiri huu Ni kuwaangalia Kagere, Boko, Mkude, Kapombe, Nyoni, Wawa ambao Ni wazee Sana lakini pia hawana jipya.

Nawaangalia pia akina ndemla, shabalala, kamagi, HD, Ajibu, Hawa nao Ni walewale waliosumbukiwa na Mbao, Kagera, Mtibwa, mwadui na Yanga mbovu iliyokuwa na misukosuko mingi msimu uliopita. size yao wachezaji hawa walikuwa akina Ali Ali, Ali Mtoni, Ngassa, Shabanii, na Molinga waliondoka.

Siwaoni wachezaji wa Simba watakaoweza kushindana na akina Nondo, Moro, Mauya, Yacoub, Sarpong, Balama, Tusilla, Mukoko, Ninja, Wazir Jr, Niyonzima, Toto, Farid, ....

Wale wazee wa Simba wakikanyagwa kwenye mechi na Ruvu shorting na Ihefu kwenye viwanja vibovu majeraha yao yatawaweka nje robo ya msimu kwa uzee.

Samahani jamani kwa utabiri huu kwa wale nitakao wakwaza.
Hv una akili timamu? Mara ya mwisho yanga kuifunga simba kwa idadi hio ya magoli UNAYOIOTA ilikuwa lini? YANGA MMEBAKI MNAOTA TU NDIO FURAHA ZENU. WENZENU MAKOMBE NA USHINDI MFULULIZO TUNA ENJOY. Endeleeni kuota mchana. Mwenyekiti wenu akiwa dodoma bado anamuota MORISSON. Mna stress za miaka kbao. POLENIIIIIII

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Naona Kama unanung'unika bure, Sevilla haikuletwa na Simba Tanzania, Morrison aliletwa na Yanga Simba wakamuona. Ninachosema mm Kiko wazi, Kama Yanga ile ya Jana iliweza kutoka sare na kuifunga Simba 1-0 Basi Yanga hii ya Leo Kama itapata kocha mzuri, matunzo, mishahara kwa wakati na posho mbalimbali inao uwezo wa kuifunga Simba 5-1.

Sababu kubwa niliyoitoa Ni Simba hakufanya usajiri mkubwa Sana msimu huu hivyo wachezi wengi na kocha Ni walewale waliofunga na Yanga mbovu, Kagera, Mbao, mwadui. Sababu ya pili, Simba Ina wachezaji muhimu wengi ambao Ni wazee ambao Kama atapata jeraha (sprains) kupima kwake Ni kwa polepole sana, siunajua namna viwanja vya mikoani vilivyo vibovu na Simba na Yanga zinavyokamiwa na timu ndogo?, Tatu Yanga safari hii imefanya usajiri mkubwa/mzuri kulinganisha na misimu 3 iliyopita, nne, Yanga safari hii Wana wafadhiri sio Kama Yanga ile ya Zahera, tano, Morrison anaweza asicheze Simba, maana Yanga bado wanaendelea kunung'unika huko FIFA kwa wenye mpira wao.

Msichoelewa hapo n Nini?
Sababu zako zote zimejaa utopolo tatizo mkifungwa hamjitathimini kwanini mmefungwa mnatafuta sababu za uwongouwongo hao wazee ndio walikupiga nne.
Sevilla walikuja kucheza na simba kwa sababu nyie kiwango chenu kilikuwa kidogo.
As vita walikuja kucheza na simba kwenye mashindano ya klabu bingwa mpaka kocha wenu akaacha kuambatana na timu iringa mkafungwa na lipuli kuonyesha unafiki.
Asante kotoko waliletwa na Simba simba day nn huelewi au ndiyo naongea na manyani wasiojua mpira kazi wanabwekabweka uneducated
 
Watani ni kweli mmesajili vizuri lkn je tatizo la mishahara na posho mtalimaliza? Hili ni tatizo sugu kwenu kwa sasa.
 
Simba pamoja na kuwa na kikosi kipana chenye matunzo mazuri waliokaa pamoja kwa muda mrefu, lakini ilihangaishwa na kikosi cha wachezaji wa kuungaunga na kuanikiza juani wenye njaa wa Yanga hadi pale marefa na TFF walipookoa jahazi.

Walihangaika na akina Ngasa, Yirpe, Ali Mtoni, Ali Ali, Molinga na Morrison. Sasa Yanga Ina wachezaji wa ukweli wasio na njaa wakiwemo akina Mukoko, Tuisila, Yacoub Sarpong, fei,kaseke, nondo, Waziri, Balama, Ninja kule, Lamine huku, Mustafa hapa, Farid,,,,. Najua hata wewe una hofu na Yanga ya msimu huu Ila unajitutumua tu hapa. Yanga hii sio Kama Yanga ileee


JUST RELAX TODAY IS SUNDAY DUDE...
 
Back
Top Bottom