2020 GEORGIA BANK ROBBERY: Mtu mmoja (inasemekana ni mwanajeshi muasi) anawezaje kuwachukua mateka watu zaidi ya 40 kwa wakati mmoja bila kizingiti?

Kuna mtekaji ndege mmoja alichukua pesa ndefu sana na akachomoka miaka hiyo hawajamuona mpaka leo,aliteka ndege akalazimisha itue mahali aletewe mpunga otherwise analipua akaletewa mpunga akaamrisha ndege iondoke ilipokua katikati huko msituni kalazimisha pilot afungue nyuma kule kuna ndege zilikua nauwezo kufunguka kule nyuma hata ikiwa inatembea bila madhara yoyote.jamaa alitoka na parachute akapotea huku nyuma kulikua na ndege mbili za wanajeshi zinaifuatilia ile ndege ya mtekaji.ilipotua wanafanikiwa kuwatoa abiria aah wapi mtekaji kashayeya na madola yote waliyompa.jamaa walimtafuta miaka nane mpaka wakakata tamaa wakasema kafa.issue ikabumbuluka kuna dogo aliokota dola mtoni huko na alipokwenda kuchange au kutumia ndio ikajulikana ni kati ya zileee zilizopigwa na mtekaji,msako ukaanza upya.badae wakakata tamaa tena
Jamaa usikute yuko zake thailand huko vijijini analima tu mpunga wake huku ana hazina yake saaafi kaitunza tu.
 
Daaah...
 
Tafuta hiyo story mkuu ni nzuri sana ,sikumbuki niliisoma wapi ningekuwekea link ukafaidi
Zile dola zote jamaa walizipiga mark ndo wakamplekea ili akitumia tu mahali au yoyote wamkamate kwa ushahidi.ndio akaja nayo huyo dogo
 
Huu ni zaidi ya ushetani hakika
 
Aya ya mwisho uliyoibold ndio inafanya watu wakuone kimeo hata ule uzi wa kula rambirambi walikudis kwasababu una hulka zote zinazofanana na mla rambirambi wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…