cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe