2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Waarabu huwa wapo makini sana kwenye knock out stage.....
Yule nyanda wa akiba wa mafirauni kama chale flan hivi lakini yupo vizuri kafanya save moja kisha kawavusha nadhani atamwambia El shenawy mzigo ulonipa nimeufikisha salama fanya upone robo urudi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom