Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅WatuWe Ngoja Gambia Awe Bingwa Muanze Kutafutana [emoji1787]
Vipi hakuna tetesi za wagonjwa wa corona kwa Gambia?
Kwanini umempa burkina faso na sio tunisia?[emoji1062] Cameroon na Burkna faso wana nafasi kubwa kuendelea
Daah 😂😂Vipi wachezaji wa Gambia hawajakutwa na Corona?
😂😂😂Vipi hakuna tetesi za wagonjwa wa corona kwa Gambia?
A Bridge too Far...., Hata Bila kuwafanyia figisu za kuwa na Corona being Home Team itabidi tu Gambia afungashe virago...Hawa Bukina Fasso Kiutani Utani Watacheza Fainali Hivi Hivi Tunaangalia, Sina Imani Na Tunisia Dhidi Ya Bukina Fasso. Itakuwa Ni Mechi Ngumu Sana
Hawa Cameroon Leo Ndio Wanaaga
wa Buknabe wanaupiga sana mwingi mkuu kama umewafuatilia labda wawe na stress za coup d Tet iliyotokea huko kwao
Sawa ngoja tuone.Ila mimi huwa siwaamini sana warabu wakicheza na hizi timu zetu.wa Buknabe wanaupiga sana mwingi mkuu kama umewafuatilia labda wawe na stress za coup d Tet iliyotokea huko kwao
Gambia tunaenda kuwatoa Cameroon leo.
Ngoja tuone Tena mbeleko kwa wenyeji