ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
uhalisia itabadilika tuuGambia wanatega counter attack lakini kiuhalisia hii game ya Cameron
Gambia tunaenda kuwatoa Cameroon leo.
Mwenyeji anaonekana ana nafasi ya kuvuka.Gambia wanatega counter attack lakini kiuhalisia hii game ya Cameron
Mwenyeji anaonekana ana nafasi ya kuvuka.
Huyu mbabe wake alikuwa Comoro. Bila figisu alikuwa anapasuliwa vyema tu siku ile.Sijui nani atamzuia na hivi mbabe wake Nigeria keshafurumishwa huyu wa kumkabili ni mwarabu tu hakuna namna
Hawa Gambia waliingia tu kwa uoga, ila dakika hizi za mwisho wanavyo cheza wanaonekana ni wazuri,Comoro walikuwa wazuri kuliko hawa Gambia. Pale mbele wamedhibitiwa kisawasawa
Ngoja akutane na mwarabu tutaona kama ni mbabe kweli au mbeleko inamsaidia.Huyu mbabe wake alikuwa Comoro. Bila figisu alikuwa anapasuliwa vyema tu siku ile.
Hawajamlipa hela.zake mwamba kaamua kuja kuchukua kilicho chake ,[emoji1787]Samahani kwa kuwarudisha nyuma, lakini Cameroon kuna vituko! Leo wakati wa pre-match meeting/press conference between Tunisia na Burkina Faso kuna mdau alipanda juu ya meza na kukwapua microphones na vedt zake na kukimbia. [emoji119]