2021 AFCON Special Thread

Gambia wanatega counter attack lakini kiuhalisia hii game ya Cameron
 
Samahani kwa kuwarudisha nyuma, lakini Cameroon kuna vituko! Leo wakati wa pre-match meeting/press conference between Tunisia na Burkina Faso kuna mdau alipanda juu ya meza na kukwapua microphones na vedt zake na kukimbia. 🙌
 
Samahani kwa kuwarudisha nyuma, lakini Cameroon kuna vituko! Leo wakati wa pre-match meeting/press conference between Tunisia na Burkina Faso kuna mdau alipanda juu ya meza na kukwapua microphones na vedt zake na kukimbia. [emoji119]
Hawajamlipa hela.zake mwamba kaamua kuja kuchukua kilicho chake ,[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…