2021 AFCON Special Thread


Hakuna cha figisu, wenzetu wametuzidi maarifa bwana, haya ya figisu yanatokea kwenye vijiwe vya kahawa, kwa mtu anaejuwa mpira hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama hizo eti fitina/figisu 🤣. Ukweli ni kwamba, bado kuna vimelea vya kibaguzi,,,, labda nikuorodheshee comments za kishenzi kutoka kwa wacojielewa na kujitambuwa 🤣

Angalia hapa,

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…