Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Japo tumefungwa ila nimewakubali sana Bukinabe mpira mzuri sana.
Mi nasema walibahatisha kwa tunisia, wamekuja kuaibika tu, heri wangemuacha Tunisia akapita mammae. Wameniuzi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo tumefungwa ila nimewakubali sana Bukinabe mpira mzuri sana.
Bukinabe wapo vzr shekhe wala hawakubahatisha,sema game ya leo imewakataaMi nasema walibahatisha kwa tunisia, wamekuja kuaibika tu, heri wangemuacha Tunisia akapita mammae. Wameniuzi sana
Koulibally walimharibia Napoli wenyewe kwa kuweka price tag ya 100 pounds.Koulibaly ameamua kuzeekea Napoli, jamaa ana uwezo sana ila ndio hivyo miaka 30 hamna timu kubwa itamtaka
Anacheza soka wapi?
Bukinabe wapo vzr shekhe wala hawakubahatisha,sema game ya leo imewakataa
Yule shehe wa bukinabe aliescore yuko vizuri sana. Mshkaji namkubali sana
Ila Egypt wanachukua ndooo hakuna ubishi
Anaitwa Blati Traore, ni midfield kisheti wa hakika sema tu bahati haikuwa yao.
Nusu fainali ya kesho inanikumbusha robo fainali ya AFCON 2002, Cameroon alimtoa Egypt 1-0, baadae akamtandika Mali na kutinga fainali ambapo alikutana na Senegal alietoka kumchapa Nigeria 2-1 kwenye nusu fainaliKesho Cameroon abebwe ili akutane na Senegal fainali
Ila Egypt wanachukua ndooo hakuna ubishi
Anaitwa Blati Traore, ni midfield kisheti wa hakika sema tu bahati haikuwa yao.
Historia ni mwalimu mzuri, asante kwa kutukumbushaNusu fainali ya kesho inanikumbusha robo fainali ya AFCON 2002, Cameroon alimtoa Egypt 1-0, baadae akamtandika Mali na kutinga fainali ambapo alikutana na Senegal alietoka kumchapa Nigeria 2-1 kwenye nusu fainali
Mwisho wa siku Cameroon alishinda kwa penalty 3-2 na kubeba ubingwa wake wa 4, je historia itajirudia tena Cameroon vs Senegal kukutana fainali?! Historia itajirudia tena kwa Cameroon kumtoa Egypt safari hii ikiwa ni kwenye nusu fainali?!
Ni jambo la kusubiri na kuona
Tunisia pia alibahatisha kwa Nigeria.Timu iliyosonga kwa ubest loser unaiona ya maana?Mi nasema walibahatisha kwa tunisia, wamekuja kuaibika tu, heri wangemuacha Tunisia akapita mammae. Wameniuzi sana
Nusu fainali ya kesho inanikumbusha robo fainali ya AFCON 2002, Cameroon alimtoa Egypt 1-0, baadae akamtandika Mali na kutinga fainali ambapo alikutana na Senegal alietoka kumchapa Nigeria 2-1 kwenye nusu fainali
Mwisho wa siku Cameroon alishinda kwa penalty 3-2 na kubeba ubingwa wake wa 4, je historia itajirudia tena Cameroon vs Senegal kukutana fainali?! Historia itajirudia tena kwa Cameroon kumtoa Egypt safari hii ikiwa ni kwenye nusu fainali?!
Ni jambo la kusubiri na kuona
EgyptUnpopular opinion; Cameroon will be the Champions
Cameroon sjui njia aliyopitia ni rahisi au sjui nini?! Naona Egypt na Senegal hawakua title contenders, kelele nyingi zilikua kwa Algeria, Nigeria, Morocco na Tunisia.... Egypt na Senegal wamegain momentum taratibu kadri tournament ilivyokua inasogea,.. Cameroon sijaona km kapata challenge ya kutosha this time,nataka nimuone kesho kwa Pharaos then akipita nitamuona pia kwa MsenegaliUmeona likinyonga linavyobadili rangi,na mafalao ivyo ivyo Chief metal,,,,,ngoja kesho 2mnyooshe mchongo kisha atafuatia senegal.