Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Cameroon lazima amtoe misri
Final Senegal vs Cameroon litakuwa bonge la mechi.
Senegal hawezi kupoteza mara ya pili mark my words..!Egypt na Senegal ndiyo bonge la mechi. Salah and Mane
Bingwa mapharao,
Je Egypt na Cameroon ni saa ngapi?
Anacheza soka wapi?
Ni mwehu tu au tuseme "ana wivu wa kike"
Ni kweli ila leo nimeoga baharini sina gundu.Mwanangu kila chama unaloshabikia linafungwa ujue
Ngoja tuoneNi kweli ila leo nimeoga baharini sina gundu.
Mind gamesNi mwehu tu au tuseme "ana wivu wa kike"
Maraaaa paaaaapuuuuuu....kapitaHatimaye muda unasogea. ule muda ambao Cameroon hana pa kukimbilia
tunaenda kujipigia mkameruniMida ndio hio inajongea