Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Wote tu
Siyo kweli, labda umeanza leo kufuatilia haya mashindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tu
Egypt hapaTimu gani unaipa? Mm naona Cameroon wamechelewesha game wametengeneza nafasi nyingi sana.
kameruni wameloga nini?
Tuwie radhi mkuu, mbona tumekuwa Mabingwa mara nyingi tu..Hizo pumzi tunazitoa wapi...!?Mwarabu hawezi kuwa na pumzi zaidi ha rangi nyeusi!!
Imekula kwakoEgypt hapa
Since day one up to dateSiyo kweli, labda umeanza leo kufuatilia haya mashindano
Tv yako ipo nyuma mkuu full time huku watu wanasubiri mikwaju ya penatiNafac ya wazi wamekoswa egypt.
Cameroon wana uwezo kuliko waarabu
Nilisema. Hii game imechezwa sana kati.Kuna mtu atakula goal 1 tu
Hapa penalty hazitazidi tano tutakuwa tushajua aliyefuzu
Imekula kwako