Nilisema MAPEMA sana.Nilisema. Hii game imechezwa sana kati.
CAMEROON OUT
Sijawahi kumuamini MWEUSI mwenzagu kwenye MATUTA
Hakika ulinenaWatu weusi kwenye penat hawapo serious kabisaa
Mtu atapaisha hapa
Ila hawa jmaa bhana
Pernat za wap hizi
Hizo ndo akili za mtu mweusi.pale panapohitajika akili na jitihada za ya ziada sisi huwa hatujali.
Kuna ambao wanasema eti penalty hazina mwenyewe..Acha waishi kwenye maono yao..Lakini sisi tunaamini Penalty ni Sayansi...!Watu weusi kwenye penat hawapo serious kabisaa
Mtu atapaisha hapa
Hawa cameruni ni takataka
Za afrika.Ila hawa jmaa bhana
Pernat za wap hizi
Sure.Bora watoke, waliwafanyia uhuni Comoros.
Wanangu wa Misri oyeee!!
Waarabu ni hatari..
Senegal watapata tabu saaana.. πππAccha kabisa. Prediction yangu egypt anabeba ndoo babaaaaaaaaa
Jamaa wanajipigia pigia tu penalti..
Senegal watapata tabu saaana.. πππ