Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
timu zetu za kitanzania wanajifunza au ndio wanashangaa tu wanaume wanavyo sakata kabumbu kwa bidii na maarifa?
Hapa wamefanya sahihi sana.
Hata Taifa Stars? Aagh kuwa serious MpwaBado Sijaona timu ambayo iko serious na hili kombe
Hahhahaah nimecheka kama mjingaTANESCO nmekosa tusi
ndo huyo wa UTV? Kama ndo yeye yupo vizuriCommentator Gharib Mzinga yupo more informed,Jamaa anajua sana.
Napenda anavyotangaza.[emoji119]
Sifahamu vizuri mkuu ila nahisi hivyo.ndo huyo wa UTV? Kama ndo yeye yupo vizuri
Sijui imekuwaje leo hii sio Misri tuliyoizowea.Mafarao hawatawaweza wa Naija ,ni Kama wamezidiwa kimbinu na nguvu
wametepeta ,,wanaija wanakimbizaSijui imekuwaje leo hii sio Misri tuliyoizowea.
Yaani na wakizubaa wanaongezwa la pili aisee.wametepeta ,,wanaija wanakimbiza