2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

CAF wametuaibisha sana waafrica... Mamilioni ya waafrika anakosekana mmoja tu wa kuchezesha

Nawasiwasi baadhi ya hawa wachezaji ni kutoka Guatemala Country + refer wao 🤣🤣🤣 ni aibu mno kwa afrika
 
Kuna nchi kama Equitorial Guinea, Sierra Leone, Gambia na Gabon mpira wao umekuwa sana na wachezaji wao wanacheza kwa ari kubwa sana na ndio maana wamekuwa "The Surprise Packages".

Nashangaa kwenye michuano hii zaidi ya nusu ya timu zinazoshiriki zinatoka ukanda moja yaani Afrika Magharibi wakati huku kwetu Afrika Mashariki hamna kitu kabisa. 😛😛

Kwa nini hili linatokea na kwa nini mpira wetu hauonyeshi dalili za kukua?
 
Kuna nchi kama Equitorial Guinea, Sierra Leone, Gambia na Gabon mpira wao umekuwa sana na wachezaji wao wanacheza kwa ari kubwa sana na ndio maana wamekuwa "The Surprise Packages".

Nashangaa kwenye michuano hii zaidi ya nusu ya timu zinazoshiriki zinatoka ukanda moja yaani Afrika Magharibi wakati huku kwetu Afrika Mashariki hamna kitu kabisa. 😛😛

Kwa nini hili linatokea na kwa nini mpira wetu hauonyeshi dalili za kukua?
Nami nashangaa aise, mpaka malawi, gabon na comoros wameshiriki 🤣🤣🤣 taifa manyota wanakwama wapiii
 
Kuna nchi kama Equitorial Guinea, Sierra Leone, Gambia na Gabon mpira wao umekuwa sana na wachezaji wao wanacheza kwa ari kubwa sana na ndio maana wamekuwa "The Surprise Packages".

Nashangaa kwenye michuano hii zaidi ya nusu ya timu zinazoshiriki zinatoka ukanda moja yaani Afrika Magharibi wakati huku kwetu Afrika Mashariki hamna kitu kabisa. 😛😛

Kwa nini hili linatokea na kwa nini mpira wetu hauonyeshi dalili za kukua?
Tuna ligi mbovu, ushabiki mkubwa kwa timu zenye viwango duni kulinganisha na timu za nje, tuna majungu, nepotism, tunajali matumbo yetu, wachezaji wetu kuwa na miili midogo, physique ndogo, stamina dhaifu, vimo vifupi, makocha viwango duni, tunaabudu ushirikina. pamoja na lishe duni (ongeza mambo mengine yenye kikwazo) Kwa mwenendo huo usitegemee tutafua dafu mbele ya wenzetu.

Equatorial Guinea, Gambia, Gabon, Siera Leone ni vi-nchi vidogo lakini wazuri kwenye soka katika mashindano haya.

Mpira sasa ume-shift kutoka Afrika Kaskazini kwenda Afrika Magharibi.

Timu zetu zitabaki kutambiana na kufurukuta humu ndani tu, zikienda nje zinafyekelewa mbali.

Tukiondoa hayo matatizo niliyoyataja na utakayoyataja, tutasonga mbele kisoka na kuleta ushindani. Vinginevyo tutakuwa wasindikizaji tu.

Hata hawa wachezaji wageni wanaosajiliwa na timu zetu, viwango vyao vya uchezaji ni duni, mfano mwamba wa Lusaka (CCC). Amerudi Simba baada ya kiwango chake kuonekana duni, ilitakiwa asirudi Simba kwa sababu wachezaji wetu wazawa hakuna la kujifunza kwa huyo jamaa, lakini ndio hivyo tena.

Wasajiliwe wachezaji na makocha wenye viwango ili kuinua timu zetu kuweza kushindana na timu za nje.

Kwa mtindo huu, hata mabilioni ya fedha yawekezwe, kutoboa itakuwa ni ndoto za alinacha.

Ngoja nipooze koo kwa ulanzi kabla sijaendelea kusema.
 
Kutoishabikia na kuipenda Algeria inayotwaa vikombe, na kuishabikia Equatorial Guinea ni kujipa stress tu at end of the day unakufa kwa heart attack 🤣 huu ni unyambafu wa kiwango cha lami
Ni akili ndogo tu ndio inakusumbua, kila mtu ana haki ya kushabikia timu yoyote anayoipenda iwe inampa stress au la kwa sababu hiyo sio swala lako.

Hata Norwich City kule EPL japo inashikilia mkia lakini mashabiki wao hawajaacha kuishangilia. Watu wote hawawezi kuishabikia Man City eti tu kwa kuwa ndio "Title defenders and favourites". Unatakiwa utumie akili hata kidogo tu kulijua hilo.
 
Mechi za leo:

Kuna mechi mbili leo za kukamilisha Kundi A, kwa sheria za FIFA mechi za mwisho za kundi moja zitapigwa muda mmoja ili kuepuka kupanga matokeo!

Hivyo mechi zote mbili za leo zitapigwa saa 1:00 Usiku

A62B37E3-19D0-4296-A28A-814B01896953.jpeg
 
Burkina Faso na Cape Verde watashuka dimbani kwenye mechi tofauti huku kila mmoja akijaribu kuungana na Cameroon kwa hatua inayofuata
 
Kuna nchi kama Equitorial Guinea, Sierra Leone, Gambia na Gabon mpira wao umekuwa sana na wachezaji wao wanacheza kwa ari kubwa sana na ndio maana wamekuwa "The Surprise Packages".

Nashangaa kwenye michuano hii zaidi ya nusu ya timu zinazoshiriki zinatoka ukanda moja yaani Afrika Magharibi wakati huku kwetu Afrika Mashariki hamna kitu kabisa. 😛😛

Kwa nini hili linatokea na kwa nini mpira wetu hauonyeshi dalili za kukua?
URAIA PACHA unasaidia sana, we chunguza, nchi nying wameruhusu uraia pacha, wanapata wachezaji wengi, mfano equatorial quinea wachezaji karibia 17 wote wamezaliwa Spain, unategemea nn, nchi yetu imebadili mifumo ya kizaman imepitwa na wakat,
 
Back
Top Bottom