Hahahaha mambo ya kuombeana njaa haya Egypt wako vipi sijasikia ukiwaongeleaMorocco though mmedroo lakini I'm so happy, point 7 sio haba.... mnacheza kwa kujiamini, na pira linavutia kweli kweli, hutamani mpira umalizike.
Nasubiri Algeria wangu, ingawa wana asilimia ndogo mno kupita ikiwa atashinda, na Guinea and Sierra Leone wakadroo
Ghana ana laana alicho mfanyia SA kwenye WC qualifications kina mtafunaGhana ameanza safari nategemea wakubwa wengine watamfata Ghana akiwemo Algeria
Jifariji tu na takwimu za kuliwaza. Wachezaji hao wenye uafadhali wa kiuchezaji ni raia wazalendo au wachezaji wa kigeni?Ligi ya Tanzania ni ya 8 Afrika kwa ubora.
Morocco nao jana walikuwa vimeo tuuMpaka sasa AFCON nilivyoangalia ubingwa ni either.
1. CAMEROON
2. IVORY COST
3. MOROCCO
Hao wengine sidhani.
NIGERIA haujamuona Mkuu?Mpaka sasa AFCON nilivyoangalia ubingwa ni either.
1. CAMEROON
2. IVORY COST
3. MOROCCO
Hao wengine sidhani.
Hahahaha mambo ya kuombeana njaa haya Egypt wako vipi sijasikia ukiwaongelea
Morocco nao jana walikuwa vimeo tuu
Naona wamuanzisha atriker wao mmoja dugi baadae ikabidi wamtoe tuu...alikuwa anaruka ruka🤣🤣🤣🤣Pengine hawakukaza kwakuwa washapita kamanda Mzabzab
Leo game saa moja hakuna?
Hahahaha mambo ya kuombeana njaa haya Egypt wako vipi sijasikia ukiwaongelea
Nimemuweka hapo juu. Sure nilimsahau ila yupo vizuri.Hebu muweke na Nigeria hapo unamkosea adabu
Ndio maana wa 3 hapoMorocco nao jana walikuwa vimeo tuu
Naye yupo nilimsahauNIGERIA haujamuona Mkuu?
Miyeyusho tu hao...Egypt kwa miaka ya karibuni wamekuwa vibaya
Udini unakusumbua, na haukusaidii chochote.Morocco though mmedroo lakini I'm so happy, point 7 sio haba.... mnacheza kwa kujiamini, na pira linavutia kweli kweli, hutamani mpira umalizike.
Nasubiri Algeria wangu, ingawa wana asilimia ndogo mno kupita ikiwa atashinda, na Guinea and Sierra Leone wakadroo
sijapinga popote nimekueleza tuu kwamba ni ya 8 kitakwimu wewe ulisema ni ya mwisho.Jifariji tu na takwimu za kuliwaza. Wachezaji hao wenye uafadhali wa kiuchezaji ni raia wazalendo au wachezaji wa kigeni?
Tunapokuwa na mechi za kimataifa na wazalendo wetu huwa tunatoboa au tunabaki kiichwa cha mwendawazimu?
Hiyo kuwa namba 8 kwa ubora wa ligi Afrika ni kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kubali tu bado uendashaji wetu wa soka unatakiwa ushirikishwaji mkubwa wenye maono mujarabu ili kuwa na matokeo chanya Kimataifa. Vinginevyo itakuwa Yanga, Simba,Azam kila siku miaka nenda rudi bila kuwa na timu bora ya taifa na tishio Afrika na Duniani.
Wanaondoka tu hao wakubwaJe tutaendelea kuona suprise nyingine? Wakubwa kuaga..?